^^
Nitakuwa wa mwisho kukubali
^^
naam mkuu! Nacheka sana kila naposoma koment zako.......znakuwa zmetulia sana......naona kama saikolojia ipo sana au busara za utu uzima
^^
Ujue kila nikitazama id yako nakumbuka kile kisa cha Mgirik na Mwl Nyerere kuhusu rushwa,
Btw
Mi sio mkubwa wala mdogo wala mwanasaikolojia bali rejea signature yangu.
^^
hahahaaa! Kwahyo unafikir na mm n mla rushwa?
Wanawake karibu 90% wametoa mimba,
40% wamezaa kabla ya ndoa,wanaume,
40% wamezaa nje ya ndoa zao,
80% wana watoto nje ya ndoa.
Wanawake ni waaminifu kwenye ndoa kuliko wanaume.
Mkuu hizi takwimu ni za taasisi gani ya utafiti?
Halafu iweje hizo asilimia jumla yake izidi 100% ?
Kuna ka ukweli ila takwimu ndio matata.
Ila waloshusha ni wengi wengi kwa kweli.
^^
Haaa hapana, nawaza tu uliwaza nini au upo Greece?
^^
hahahaaa! Hapana npo hapa hapa ila kuna kisa flani niliwahi kuwafanyia hao watu kwahyo mtaa mzima wakawa ananiita kiboko ya wagirik