90% wanawake wametoa mimba

90% wanawake wametoa mimba

^^
Si unakumbuka ilivo ngumu kutekeleza hekima alizosema ktk wimbo huo,
mf ubeti huu..
"..Jamani siku hizi mapenzi yameongopewa,
Siku hizi mapenzi yamekufa,
Mama yangu aliolewa kwa panga na mkuki, lakini wasichana wa Darisalama,
wanataka pesaaa,
Siku hizi kupenda tunaogopa, hata kutongoza tunaogopa,
...
^^

Daaaaaa... sasa kwanini umeukumbuka huu mwimbo muda huu?
 
Daaaaaa... sasa kwanini umeukumbuka huu mwimbo muda huu?

^^
Ha ha haa kuna majibu ya Dk Remmy hapa kwenye asili ya muziki,anasema
"..Muziki asili yake wapiii,
Muziki ni wa nani,
Muziki maombolezoo,
Muziki ni fundisho,
Muziki ni wito,
Ukiwa na furaha utaimba nyimbo za furaha,
Ukiwa na huzuni utaimba wimbo wa masikitikoo,
Usinione nikiimbaa, ukadhani ninayo furaha,
kumbe ninayo huzuni moyooniii,
..."
NIMEUKUMBUKA KWA SABABU YA SENTENSI YA MWISHO hapo juu
^^
 
eti baba enzi zenu Madame B ndo zilikuwa hivyo?

^^
Mama yako, anajua zile za Patricia mf.
Macho yanacheka,
Moyo unaliaa,
Nikimkumbukaa,
Wangu maridhia,
Kwa wake utulivu,
Macho yanacheka
Moyo unaliaa,
Mpenzi sikia,
Uache dhihaka..
(Niishie hapa, nyie mkaimbe za Diamond)
^^
 
^^
Ha ha haa kuna majibu ya Dk Remmy hapa kwenye asili ya muziki,anasema
"..Muziki asili yake wapiii,
Muziki ni wa nani,
Muziki maombolezoo,
Muziki ni fundisho,
Muziki ni wito,
Ukiwa na furaha utaimba nyimbo za furaha,
Ukiwa na huzuni utaimba wimbo wa masikitikoo,
Usinione nikiimbaa, ukadhani ninayo furaha,
kumbe ninayo huzuni moyooniii,
..."
NIMEUKUMBUKA KWA SABABU YA SENTENSI YA MWISHO hapo juu
^^

Nilidhani ni dedication yangu....
 
Nyani amucheka mwenzie kundule!!!!!!!!!!!!
hapa mkuu ni hesabu tu inakusumbua, kama kuna mimba7 za nje ya ndoa ujue wanawake 7 wamezaa nje ya ndoa pia wakati huo huo wanaume saba wamezaa nje ya ndoa!
kama kuna wana wake 8 wametoa mimba ujue wanaume 8 mimba walizojaza wanawake zimetolewa! kama kuna wanawake 20 wanauza ujue kuna midume zaidi ya ishirini imeuziwa k!
sasa jiulize hilo swali kinyume chake wanaume ni waminifu?
 
^^
Mama yako, anajua zile za Patricia mf.
Macho yanacheka,
Moyo unaliaa,
Nikimkumbukaa,
Wangu maridhia,
Kwa wake utulivu,
Macho yanacheka
Moyo unaliaa,
Mpenzi sikia,
Uache dhihaka..
(Niishie hapa, nyie mkaimbe za Diamond)
^^

Umenifanya niende kuusikiliza
 
Mhh! Huo ni utafiti au mawazo yako? Uliwapa nini hao wanawake uliowahoji hadi kupata taarifa zao?
 
Yes please....

^^
Ewe mrembo wa masika,
Kiumbe unaesifika,
Mwendo wako wa maringo,
Kiuno chako mviringo,
aaaa!
Leo ni siku yakoo,
Tuonyeshe uzuri wakoo,
Halaiki yote macho kwakoo,
Tuna hamu na huba zakoo,
aaa
Ndogo ndogo!
Wewe si kidogo!
Ndogo ndogo!
Akili yako i makini..."
(wimbo uliimbwa na Fundi Konde,lakini ulirudiwa baadae na Fadhili William ktk Bendi ya Them Mushrooms)
^^
 
^^
Ewe mrembo wa masika,
Kiumbe unaesifika,
Mwendo wako wa maringo,
Kiuno chako mviringo,
aaaa!
Leo ni siku yakoo,
Tuonyeshe uzuri wakoo,
Halaiki yote macho kwakoo,
Tuna hamu na huba zakoo,
aaa
Ndogo ndogo!
Wewe si kidogo!
Ndogo ndogo!
Akili yako i makini..."
(wimbo uliimbwa na Fundi Konde,lakini ulirudiwa baadae na Fadhili William ktk Bendi ya Them Mushrooms)
^^

hahaha thank youuuuu so muchhhhhh.... mwimbo unaendana na mie hivo hivo...
 
Back
Top Bottom