90% wanawake wametoa mimba

90% wanawake wametoa mimba

japo hawatasema hapa,ila miyoni kila mtu anajua,..na wanaume wengine anakupa live kabisa,hataki kutumia condom,kuna jamaa mmoja ilidibi tuachane kw sbb hyo,ukimuuliza wt if i get pregnant,anakujibu,u will abort,ntakupa hela,SERIOUSLY???!!..NOT ANYMORE,

Kweli kabisa....
mwanamke akitoa mimba maana yake alompa anahusika pia... tena wanaume ndo hupenda kwenda kavukavu, then wanakuja kuwananga dada zetu....
 
😛ound:Chanzo cha mwanamke kutoa mimba ni wewe mwanaume. Mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni wewe dume tamak rea. Kila kibaya kinachomuhusu mwanamke ktk mahusiano wewe mwanaume ndio mbaya. ie Kama nimeduu na wewe nikaconsv na ukakubali majukumu mi ninakichaa nikatoe hicho kiumbe, nizae alafu niolewe na mwingne kwa 7bu gani nawewe upo???? Ndio maana cku hizi tunawachakachua na mimba hatubebi mpk mlie na mizimu ya kwenu na mkituoa mkaleta za kuleta dawa mnaijua. :biggrin1:

Nakubaliana na wewe kuwa mwanaume ndio catalyst wa wanawake kutoa mimba,kizaa nje ya ndoa etc
 
kabanga mi sikubaliani na mtoa mada maana hizo % zake sijui kazitoa wapi. Ilitakiwa ukijumlisha % za wanawake (waliotoa mimba, waliozaa nje ya ndoa n.k) unapata 100% na wanaume pia ujumla wao uwe 100%
 
Last edited by a moderator:
Wanawake karibu 90% wametoa mimba,

40% wamezaa kabla ya ndoa,wanaume,

40% wamezaa nje ya ndoa zao,

80% wana watoto nje ya ndoa.

Wanawake ni waaminifu kwenye ndoa kuliko wanaume.

kama ndo ivo wanaume itakuwa balaaa.:A S 109:
 
Kiukweli sio jambo jema kulaum wanawake kwa kutoa mimba au kuzaa kabla ya ndoa.ebu jiweke kwenye nafasi yao utaelewa nin naongelea.Hizo mimba wangekuwa wanazipata kwa kula chakula tungewalaum,wanaume hapa ni chanzo sana.Tuwa onee huruma jaman
 
mnajifanya wanasheriaaa kila kitu source source, kusoma hamjui hata picha hamuoni!!
 
Back
Top Bottom