nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
I was very proud of him (Remmy)..... nadhani nikikuona ntapunguza machungu niliyonayo...
Last edited by a moderator:
Hahaha... ngoja nichangamke mpaka nikuletee hata picha tu roho yako iridhike...
Wanawake karibu 90% wametoa mimba,
40% wamezaa kabla ya ndoa,wanaume,
40% wamezaa nje ya ndoa zao,
80% wana watoto nje ya ndoa.
Wanawake ni waaminifu kwenye ndoa kuliko wanaume.
I was very proud of him (Remmy)..... nadhani nikikuona ntapunguza machungu niliyonayo...
vp ww kimwana huu ndio mda jamaa yupo single hebu kaba mpaka kivuri
^^
Nitakusemea kwa Christine
^^
Nisaidie hata kujazia tunyama basiii...
^^
Unaikumbuka falsafa iliyo ndani ya wimbo wa KIPENDA ROHO?
^^
mmmmm! Huko kwingne sasa
daah! Bado unaikumbuka ule uzi
Source??
^^
Naam, naukumbuka sana maana ulidhamiria, ila usijali usiku ukizidi mapambazuko yamekaribia
^^
Unaogopa nini?
Nikipata mualiko wake tu, nakutafuta twende wote.
ehee! Namm nikafanye nn
chukua jina la mtoa threat pale kwenye O weka i...........molembe ukiweka mil......................................
wala msipate
Yes naikumbuka vyema...
^^
Si unakumbuka ilivo ngumu kutekeleza hekima alizosema ktk wimbo huo,
mf ubeti huu..
"..Jamani siku hizi mapenzi yameongopewa,
Siku hizi mapenzi yamekufa,
Mama yangu aliolewa kwa panga na mkuki, lakini wasichana wa Darisalama,
wanataka pesaaa,
Siku hizi kupenda tunaogopa, hata kutongoza tunaogopa,
...
^^