LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Nimepata hbr ya kuaminika ya ajali ya TAQWA BUS SERVICE kupata ajali mbaya jana 19/11/2011 ya kugongana uso kwa uso na gari la Bahresa aina ya Volvo New model maeneo ya boda ya Runzewe na hii boda ipo mpk mwa Uganda na Rwanda na kwa taarifa nilizonazo toka kwa aliyeshuhudia ajali anasema ya kwamba around watu 15 wamepoteza maisha hapo hapo na kwa upande wa gari la Bahresa hakuna hata mtu mmoja aliyetoka imenisikitisha sana kwa jamaa ameniambia kabla ya ile ajali aliwashudia ndg ze2 Watanzania wengi waliokuwa kwenye lile basi. Amesema hali ilikuwa siyo kwani baada ya kusikika kwmb imetokea ajali yeye alirudi mpk kwny tukio lakini alishindwa kuvumilia na akakimbia mpk alipopaki gari na kuendelea na safari lakini aliacha hali siyo yenyewe. Rest In Peace wote waliofikikwa na mauti na majeruhi MUNGU awajaze nguvu na mpone mapema. SOURCE : Kwa aliyeshuhudia ajali!