Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
Dereva wa Bakhressa mbona humhusishi?...sasa sijui bus la Taqwa lilikuwa likiendeshwa na dereva asiyekuwa mcha Mungu ama sijui ni vipi...?
Anyhow, hakuna mwenye kosa, kazi ya Mungu haina makosa.
Tuliwapenda sana lakini Bwana amewapenda zaidi. Mungu ameumba, Mungu ameua. Jina lake lihimidiwe.