figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Ajali imetokea mchana huu maeneo ya Kideka, Wilayani Ikungi mkoani Singida kati ya gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser yenye namba za usajili za T862 DJW kugongana uso kwa uso na basi la Taqwa lililokuwa linatokea Kampala.
Watu wawili wamefariki dunia.
Watu wawili wamefariki dunia.