Ni kweli; nadhani wengi wetu tuna equate lugha ya kiingereza na elimu; Rais wa Brazil hakuwa na shida sana kwani lugha yao ndio lugha rasmi ya taifa na hata anapo interact na wenzake, bado anakuwa on point kwani kinachoendelea ni tafsiri; kiswahili kingekuwa katika hali hiyo, mbona wanasiasa wetu wenye hazina tosha ya misamiati wangetupeleka mbali sana;
Katiba mpya lazima tubadili hapo kwenye ELIMU iwe hivi angalau awe na degree moja. Hii itasaidia kuondoa wabunge incompetent na WAUZA unga kama akina Munde Tambwe.
Miongoni mwa sifa za mtu kuwa mbunge kwa mujibu wa katiba ni awe mtanzania aliyefikisha umri wa miaka 21 na angalau awe amemaliza darasa la saba.
Wabunge wetu wenye degree tu ni vituko.
Ila ukweli ni kwamba wabunge wetu wengi- degree or not- hasa wale walioibuka ibuka tu bila kupata world class exposure, wanatia kichefuchefu.
Mtu unaweza kuwa unasikiliza mchango wa mbunge ukaamua kuflip channel au kuzima redio.
Kwa sababu hata ukiondoa swala la substance, presentation tu tabu unamsikiliza mtu ana meander ovyo kama an inexperienced teenager unexpectedly exposed infront of a massive crowd.
We ma experienced lawyers walio graduate toka 1975 huko kina Mizengo Pinda, wamekaa usalama wa taifa na ikulu wakaenda kuwa wabunge na mawaziri all those years tunasikia wanavyochemka kila siku.
I shudder to equate degrees and usomi. Kwa sababu hao kina kabwela ndo itakuwa ajabu. But that need not be reduced to a rule of thumb.There is always an outlier.
And we don't want to be so simplistic to dishearten the occassional brilliant Mnyika sans degree.
Tukitaka kigezo hicho elimu ya shahada kitumike basi kwanza tuhakikishe watu wote wana fursa sawa ya kupata elimu hadi ya chuo kikuu
Nimeipenda hii.hao wenye degree mbona nao hatuoni tofauti na wasio na degree hasa kutoka ccm! mfano wewe unaona tofauti ya mchango kati ya mwigulu mwenye degree first class ya uchumi na Lusinde wa darasa la saba?? AU ipo tofauti ya kimtizamo na mchango kati ya dr.Mary Nagu na Ole sendeka??
Until then........
Nadhani pia wengi tunafanya kosa la kufananisha Elimu na Intelligence. Binafsi sidhani kama elimu pekee inakusaidia kama haupo intelligent. Ndio maana unakuta mtu anaweza kuwa highly intelligent lakini hana elimu au anakuwa highly educated lakini hayupo intelligent.
Kwanini inakuwa hivi? Ni vigumu kuja na jibu kamili, lakini kwa mtazamo wangu ambao pengine ni mfupi ni kwamba, while Elimu ni knowledge unayopata katika mazingira rasmi, hasa shuleni/chuo n.k, Intelligence ni UWEZO wa kupata that knowledge/kujifunza au to acquire ujuzi au maarifa fulani katika mazingira hayo, lakini muhimu zaidi ni kwamba uwezo huu wa kujifunza/acquire ujuzi/maarifa ni lazima uendane na UWEZO wa kutumia ujuzi au maarifa hayo katika mazingira yako. Kwahiyo key issue hapa ni "UWEZO" to acquire knowledge (elimu shuleni) na "UWEZO" to utilize whatever you have acquired (elimu/knowledge shuleni). Lakini vile vile, unaweza ukakutana na mtu mwenye both – very highly educated and highly intelligent lakini bado akawa mjinga kabisa. Why? I don't know, may be kwetu ni kitu inherent/our nature as humans.
Until then tuwaache watu waliopata elimu ya lazima ya msingi wagombee. Iwapo wabunge wenye shahada watafanya vizuri sana kwenye Bunge na wasiokuwa na shahada watafunikwa katika michango na shughuli zao bungeni, nadhani kunaweza kutokea natural selection of a sort, ambapo wananchi wenyewe wakaanza kuchagua wenye shahada.
Lakini bado hapo hakutakuwa na mwananchi aliyenyimwa fursa ya kugombea nafasi ya uongozi.
Until then tuwaache watu waliopata elimu ya lazima ya msingi wagombee. Iwapo wabunge wenye shahada watafanya vizuri sana kwenye Bunge na wasiokuwa na shahada watafunikwa katika michango na shughuli zao bungeni, nadhani kunaweza kutokea natural selection of a sort, ambapo wananchi wenyewe wakaanza kuchagua wenye shahada.
Lakini bado hapo hakutakuwa na mwananchi aliyenyimwa fursa ya kugombea nafasi ya uongozi.
Very good observation.
Ukiwa na kigezo cha ubunge ambacho hakipo accessible kwa wananchi wote, kimsingi unasema kwamba haki ya uongozi unaitoa kwa sehemu kubwa ya wananchi.
Matokeo yake walioongoza na familia zao ndio watakuwa wanaongoza wao kila siku huku wengine ambao hawana uwezo wa kupata hiyo degree ndio watakuwa wa kuongozwa daima.
Sif za uongozi zimewekwa simple kwa sababu maalum. Sababu yenyewe ni kwamba ultimately wananchi wenyewe ndio waachiwe kuchagua.
Nimekuja kuelewa katika vitu ambavyo vinawatenganisha Watanzania ni elimu. Mtu akipost thread kuhusu ELIMU anakumbana na mawazo kinzani. Lakini ukweli unabaki pale pale kwamba ELIMU tena ya UKWELI kwa ustawi wa taifa letu. Ndiyo maana unakuta watu wabunge wetu kwenye bunge la Afrika ya Mashariki toka tanzania wana waachia uwanja wenzao toka Kenya, Uganda na Rwanda. Hawajui lugha na hoja hakuna...kisa tunatanguliza c=CHAMA fulani kuliko weledi...Njia ya mwongo ni fupi...Tubadilike
Hivi hapa suala la msingi ni kutoa fursa kwa wananchi kuongoza au kuwapatia wananchi fursa ya kujipatia kiongozi bora wa kuweza kutatua matatizo yao? Hoja yako inaendana zaidi na dhana ya Bora Kiongozi kuliko Kiongozi Bora; either way can be okay depending unajengea vipi hoja;