VeronicaAmadu
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 310
- 379
Mwandishi wa Riwaya A.E.Musiba vitabu vyake Njama, Hujuma, Kufa na kupona, Kikosi cha kisasi nimesahau kimoja.
Asante mkuu,ila naomba reference ya mwaka na Chuo alichopatia hii Degree ya Uchumi ndugu hapo kwenye red,ili nijiridhishe kuhusu hilo.Chief Mkwawa. Alipigana vita na wajerumani kwa silaha asilia na aliwauwa wanajeshi wajerumani waliokuwa na silaha bora. Alikimaliza kikosi chote cha wajerumani. Walimshinda waliporudi mara ya pili na alijiua mwenyewe. hawakumpata.
Muadhama Kardinari Lugambwa. Cardinari wa kwanza Muafrika.
Julius Mwasanyage. Mwafrika wa kwanza kupata degree ya uchumi.
Padre Alanus OSB. Alihamasisha wananchi kujenga barabara km 28 kwa kutumia majembe, sululu na moto kwa kupasulia mawe. 70,s
We si mdini kweli wewe?Ama ni just a coincidence?Hapo kwa Gagarino nimekubali tho.
Anaitwa Beda J. Amuli
Maxence Melo and co, for starting this great blog ambayo inatambulika na kuogopwa pia na serikali iliyojo madakani.
JF imekuea kisima cha habari na chachu ya mabadiliko katika nchi nzima. I'm almost sure waanzilishi na wamiliki wa JF wanapata vitisho na technical subbotage za hapa na pale for standing up for what they believed in, big up!
FMES member JF wengi tulijiunga kwa sababu yake...na nondozz zake
Kusherekea 50 years naomba mtuletee list ya 50 greatest Tanzanians (tukimtoa Nyerere na wanasiasa ambao tushawajadili sana)
Itakuwa si vibaya mkatuletea na sababu why these unsung heroes are great
Si lazma mje na list ya majina 50 lakini muhimu ni kutuambia kwa nini hawa watu japo hawaenziwi na watawala wetu lakini muhimu kuwajaua na michango yao kwenye historia ya Tanzania.
Personally nitaanza na Mashado Plantan ambaye nilikuwa simjui mpaka member mmoja humu alipoingia na jina lake na nikatafuta wasifu wake. Mashado was the original INVISIBLE wa enzi zake kwani alikuwa ni Mwafrika Mtanzania wa kwanza kuanzisha Gazeti lake lilikuwa linaitwa ZUHURA in the 1950's !
Muhimu wawe wanatoka from all walks of life kasoro wanasiasa.
we might learn a thing or two
- Shaaban Robert (Marehemu sasa)- Sina haja ya kumsemea sana.
- Thabiti Nassoro Lipangile (Marehemu sasa) - Huyu alikuwa mtanzania wa kwanza kuhimiza utumiaji wa teknolojia ya mianzi miti, akapewa heshima ya pekee kabisa wakati wa uongozi wa Mwalimu Nyerere. Jaribu kufikiria hadi mwanzoni mwaka 2000 baadhi ya makalavati yalitengenezwa kwa kutumia treated timber hasa kwa barabara ziendazo vijijini. Teknolojia hiyo hakuendelezwa na zaidi imepigwa zengwe na "sisi hawahawa na imekufa kifo cha kawaida.
- Niko Zengekara (Marehemu sasa) - Mwibaji wa kibao kiitwacho Solemba kilichopigwa na JUWATA Jazz Band, alikuwa ni mlemavu wa macho(Kipofu). Hata hivyo alikuwa mahiri sana awapo stejini
- Mzee Mwanakijiji - It goes without saying.
- Sembuli, Zamoyoni Mogella...Ntarudi, tena ngoja nilale niote ndoto flaniflan hivi.
1. Brigedia bayeke aliyekwenda kuwashikisha adabu washenzi waliokuwa wanabaka dada zetu mikoa ya magharibi. Kuna watu wana madaraka ya juu na vyeo vya juu hawajali, tena wanashiriki kufanya kama yale aliyopingana nayo bayeke.
2. Jenerali ulimwengu, aliyekwenda kwenye mission ya hatari msumbiji akiwa kijana mdogo, kutokana na moyo wa uazalendo kwa nchi yake, na moyo wa kupigania uhuru wa mwafrika...malipo yake aliambiwa kuwa si mtanzania
3. Issa shivji
4. Kuna dada mmoja mwanasayansi amepata tuzo pale muhimbili hivi karibuni
inasadikika bayeke alikuwa anatumia uchawi wa kifipa kule
- shaaban robert (marehemu sasa)- sina haja ya kumsemea sana.
- thabiti nassoro lipangile (marehemu sasa) - huyu alikuwa mtanzania wa kwanza kuhimiza utumiaji wa teknolojia ya mianzi miti, akapewa heshima ya pekee kabisa wakati wa uongozi wa mwalimu nyerere. Jaribu kufikiria hadi mwanzoni mwaka 2000 baadhi ya makalavati yalitengenezwa kwa kutumia treated timber hasa kwa barabara ziendazo vijijini. Teknolojia hiyo hakuendelezwa na zaidi imepigwa zengwe na "sisi hawahawa na imekufa kifo cha kawaida.
- niko zengekara (marehemu sasa) - mwibaji wa kibao kiitwacho solemba kilichopigwa na juwata jazz band, alikuwa ni mlemavu wa macho(kipofu). Hata hivyo alikuwa mahiri sana awapo stejini
- mzee mwanakijiji - it goes without saying.
- sembuli, zamoyoni mogella...ntarudi, tena ngoja nilale niote ndoto flaniflan hivi.