Dawa yenu limbwata tu nyinyiii !!!!!!
Dawa yenu limbwata tu nyinyiii !!!!!!
Mbwa kala mbwa ila siiamini sana hii habari
Tyta unahitajika upesii
ACHA UONGO KIJANA WEWE SI UMESEMA JIONI HII UNA BABY WAKO NI STRANGE SIJUI GALFRIEND UNAHISI NI JINI
UMEPOST LEO HII UNAZANI WATU HAWANA AKILI
Safi sana ......mtenda akitenda akitendwa .....
Acha tu mama hapa ni porojo mwanzo mwisho....
Jini mchepuko. Afu bado sijaprove kama ni jini, hajui kama nimeoa na hajawahi kuniuliza, imechangia kushindwa kuleta noma kwa sababu nisingekuwa na jinsi!
Mchepuko yule wewe masai dada, ndo huyu niko nae afu hajui kama nimeoa ndo mana nimeshindwa hata kumzingua mke halali!
Siku hizi hiyo ni useless .......!!
hizi stori sasa!! so jini huwa hakupigii na kukwambia kuwa naona uko na mama watoto?!
you can fool some people sometimes,, but not all people all the time. #---- #
Endelea kujidanganyaaa!!!!!
Endelea kujidanganyaaa!!!!!