Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 1,590
- 2,088
Kumbuka kuwa yeye mwenyewe ni Mzenji,kwa hiyo usishangae hiyo asilimia 4 ikapanda ikafika hata 40%.Mimi nomeshaona dalili za kuibeba Zanzibar kwa mbeleko ya chuma.
Sasa Ina maana ipi kuwa na Muungano utadhani Tanganyika Tuko na Koloni lenye watu wavivu wenye kutegemea kubebwa????