mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Leo nilipata wasaa wa kusikiliza kipindi cha 360 Mawingu ambapo alialikwa mwanasharia nguli na mwanasharia msomi mama Gloria Kahaya kutoka kituo kimoja cha kutoa haki za kisheria hapa nchini. Walikuwa wakijadili mambo ya ndoa na taraka lakini baadae bila ya kutegemea wakatumbukia katika hukumu ya mwanaharakati Spriana Musiba na Mzee Membe katika ile hukumu ya fidia ya B 6. Katika maongezi hayo ya kisharia walikuwa huru hata kutaja majina kwani kesi tayari imeisha na hukumu imetolewa.
Mwana mama huyo ambaye utaweza kujua kuwa ni gwiji la sharia alikuwa ameturia na mwenye sura ya mvuto akiongea kwa utaratibu na kufundisha vizuri utawezaelewa hata kama ujuia ofa and aseptansi. Na kila waandishi walipokuwa wanamdondoshea swali alilidadavua kwa weledi wa kisharia wa hari ya juu. Ndipo ilifika wakati wakamuuliza inakuwaje hukumu ya kesi ya Musiba kwani mtu huyo mmoja anadaiwa fidia na watu wawili jumla ya B 9 wakiwemo Karume na Membe.
Waandishi hao ambao walikuwa kama wambea hivi kutafuta ufukunyuku huku walitaka kujua inakuwaje mbona mzigo wa deni/fidia anaotakiwa kulipa ni mkubwa sana kwani kwa usawa huu ukikusanya kilakitu cha jamaa pamoja na gari, kama kuna kanyumba pamoja na vijisuti na kamera vyote hatoweza kulipa hilo deni sasa sharia inasemaje hapo? ni kama walitaka kujua wanaweza kugusa watoto na mke na kumtupa gerezani?
Mwana mama Gloria mwanasharia msomi yeye alianza kwa kusema hiyo kisharia inaitwa EMPTY DEGREE, akaendelea kusema empty degree ni wakati ambapo mahakama imetoa hukumu ya faini, kiasi hicho cha faini wanapokuja kukitafuta au kukusanya mali zote za mtuhumiwa ikiwemo kilakitu chake kama nyumba mpaka vijiko vya kabatini lakini inakuja kugundulika vinashindwa hata kulinusa deni au fidia hiyo ndiyo inaitwa digree tupu. Hivyo msitaki anashauriwa na mahakama kumuachia huru au afungwe.
Waandishi wa 360 wakazidisha umbea kutaka kujua sasa inakuwaje ataachwa mtaani au atatupwa lupango au vipi au ushauri kivipi. Mwana mama akawaambia kwa mujibu wa sharia za nchi yetu mtu akihukumiwa kwa makosa ya jinai na mengune ataweza kufungwa jela na serikali kumuhudumia huyo mfungwa kwa yote lakini katika kesi za madai ni yule anaye mshitaki (Membe) ndiyo anayo haki ya mtuhumiwa wake kwenda kutumikia kifungo gerezani kwa kuhakikisha anamlipia huduma zote kule gerezani kiwemo chakula cha asubui, mchana na jioni pia sabuni, dawa ya mswaki, kitanda, mashuka ya kujifunika, chumba, mafuta ya kupaka, nguo, dawa, matibabu akiumwa na vitu vingine ambavyo mfungwa atakuwa anaitaji kama kusoma magazeti.
Wote walibaki midomo wazi na kushangaa kwani sharia inasema kama utamchukulia mtuhumiwa vitu vyake vyote na havifikii ile fidia/deni, sharia inaamini kama ukimfilisi itakuwa haina maana kwani hatoweza kuendelea kulipa deni kwani atakuwa amebaki na makende tupu.
Hivyo haya nasema mimi, kama Membe anataka kumshikisha adabu Musiba inabidi azame tena mfukoni, na kama atataka ashike adabu kwa miaka hata 5 tu itambidi kwa viwango vya mchangani atoe kama milioni 70 hivi kumshikisha adabu iliasirudie tena kumchafua.
Mwana mama huyo ambaye utaweza kujua kuwa ni gwiji la sharia alikuwa ameturia na mwenye sura ya mvuto akiongea kwa utaratibu na kufundisha vizuri utawezaelewa hata kama ujuia ofa and aseptansi. Na kila waandishi walipokuwa wanamdondoshea swali alilidadavua kwa weledi wa kisharia wa hari ya juu. Ndipo ilifika wakati wakamuuliza inakuwaje hukumu ya kesi ya Musiba kwani mtu huyo mmoja anadaiwa fidia na watu wawili jumla ya B 9 wakiwemo Karume na Membe.
Waandishi hao ambao walikuwa kama wambea hivi kutafuta ufukunyuku huku walitaka kujua inakuwaje mbona mzigo wa deni/fidia anaotakiwa kulipa ni mkubwa sana kwani kwa usawa huu ukikusanya kilakitu cha jamaa pamoja na gari, kama kuna kanyumba pamoja na vijisuti na kamera vyote hatoweza kulipa hilo deni sasa sharia inasemaje hapo? ni kama walitaka kujua wanaweza kugusa watoto na mke na kumtupa gerezani?
Mwana mama Gloria mwanasharia msomi yeye alianza kwa kusema hiyo kisharia inaitwa EMPTY DEGREE, akaendelea kusema empty degree ni wakati ambapo mahakama imetoa hukumu ya faini, kiasi hicho cha faini wanapokuja kukitafuta au kukusanya mali zote za mtuhumiwa ikiwemo kilakitu chake kama nyumba mpaka vijiko vya kabatini lakini inakuja kugundulika vinashindwa hata kulinusa deni au fidia hiyo ndiyo inaitwa digree tupu. Hivyo msitaki anashauriwa na mahakama kumuachia huru au afungwe.
Waandishi wa 360 wakazidisha umbea kutaka kujua sasa inakuwaje ataachwa mtaani au atatupwa lupango au vipi au ushauri kivipi. Mwana mama akawaambia kwa mujibu wa sharia za nchi yetu mtu akihukumiwa kwa makosa ya jinai na mengune ataweza kufungwa jela na serikali kumuhudumia huyo mfungwa kwa yote lakini katika kesi za madai ni yule anaye mshitaki (Membe) ndiyo anayo haki ya mtuhumiwa wake kwenda kutumikia kifungo gerezani kwa kuhakikisha anamlipia huduma zote kule gerezani kiwemo chakula cha asubui, mchana na jioni pia sabuni, dawa ya mswaki, kitanda, mashuka ya kujifunika, chumba, mafuta ya kupaka, nguo, dawa, matibabu akiumwa na vitu vingine ambavyo mfungwa atakuwa anaitaji kama kusoma magazeti.
Wote walibaki midomo wazi na kushangaa kwani sharia inasema kama utamchukulia mtuhumiwa vitu vyake vyote na havifikii ile fidia/deni, sharia inaamini kama ukimfilisi itakuwa haina maana kwani hatoweza kuendelea kulipa deni kwani atakuwa amebaki na makende tupu.
Hivyo haya nasema mimi, kama Membe anataka kumshikisha adabu Musiba inabidi azame tena mfukoni, na kama atataka ashike adabu kwa miaka hata 5 tu itambidi kwa viwango vya mchangani atoe kama milioni 70 hivi kumshikisha adabu iliasirudie tena kumchafua.