3 Bedroom House, toa changamoto!

Choo cha public kipo mbali sana. Jaribu hapo kwenye hicho chumba ambacho ni self contained, hicho choo chake ndio kiwe public halafu self contained room kiwe kile kingine huko mwishoni.

Halafu sijaona sababu ya kuweka mlango hapo ulipopaita walkway.

Halafu chora kwenye hiyo AutoCAD kabisa kwa sababu hapo umechora kwa mkono unaweza ukaona spaces zimekaa vizuri ila ukishaweka huo mchoro kwenye hiyo program ya kuchora mara nyingi huwa haitokei kama ulivyochora kwa mkono.

# they are just my opinions mkuu. Kila la heri
 

Asante kwa maoni yako mkuu. Ngoja aiweke kwa autocad then nitaileta.
 
Uko sahihi 100% mkuu, siku hizi naona watu hawapendi corridors sana ili kupunguza ukubwa wa nyumba. Mimi naona corridors ni muhimu, yaani nyumba ikikosa corridors naona haina space. Ushawahi kuiobserve hii kitu?
Mimi ni mmoja wa wasiopenda corridor nyingi.
 
Hamna tabu yoyote, wengine tunabana matumizi tu
 
Labda kwa vile haipo kwa mchoro rasmi, ila walk-in-closet nyingi mtu anatoka chumbani anapita kwa wardrobe anaenda zake washroom
Huyo katoa walk-in closet kakuwekea kabati!
 
Labda kwa vile haipo kwa mchoro rasmi, ila walk-in-closet nyingi mtu anatoka chumbani anapita kwa wardrobe anaenda zake washroom
Bad design.
Imetoka kukataa gogo halafu unapita katikati ya nguo safi .
Design ya kihindi.
 
Bad design.
Imetoka kukataa gogo halafu unapita katikati ya nguo safi .
Design ya kihindi.
Mkuu siku hizi chooni sio sehemu chafu kama zamani!πŸ˜€πŸ˜€

Anyway, your inputs are highly appreciated mkuu.
 
Unaelezea 100% kama alivyo ni designia nyumba Mke wangu.
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Kuna sehemu nako hivyo hivyo, kila chumba ni master.
 
Kabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe..[emoji116]View attachment 2240747
Ondoa ukuta wote ndani ya living room, ondoa ukuta unaogawa living room na kitchen badala yake weka wooden frame tuili iwe open dinning and kitchen its more fashionable and less expensive .ondoa mlango kwenye kolido its not needed.
 
Kuna vitu kama kiroba cha unga, maharage, sukari, mkungu wa ndizi, mafuta ya kupikia hizo huwekwa hapo store for easy accessibility.
 
Kuna vitu kama kiroba cha unga, maharage, sukari, mkungu wa ndizi, mafuta ya kupikia hizo huwekwa hapo store for easy accessibility.
Yeah, kwangu store ya ndani ni lazima. Hata kama nitakuwa na store ya nje...kuwa na store ndani kwa ajili ya vitu vya ndani ni muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…