Are you living or Just surviving?

Are you living or Just surviving?

The Dictator

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
4,421
Reaction score
12,109
ARE YOU HAPPY WITH YOUR LIFE?

Swali rahisi… lakini jibu lake si rahisi kwa wengi.

Kila siku tunaamka, tunafanya kazi, tunatafuta pesa, tunajenga mahusiano, tunapambana na changamoto. Lakini mwisho wa siku ukiwa peke yako, bila kelele za dunia unaweza kusema kwa dhati kuwa unafurahia maisha yako?

• Je, unaishi maisha unayotaka au unafuata mkondo tu?

• Furaha yako inategemea nini pesa, watu, mafanikio, au kitu kingine?

• Kama jibu ni “hapana”, ni nini kinakuzuia kubadilisha hali yako?

Watu wengi wanaonekana wako sawa nje, lakini ndani kuna maswali mengi ambayo hayajapata majibu.

Toa maoni yako kwa uhalisia hakuna jibu sahihi au baya.
 
Sasa usipoishi kwa furaha hiyo huzuni utamhuzunikia nani kwenye Hii dunia ambayo kila mtu anapambania ugali wake.
Uhuzunike,ufurahi lakini mwisho wa siku utakufa tu…we enjoy tu kwa kweli…

Ukipata mia mbili mtafute mwenye kuikubali Mia kula maisha….tatizo tunataka vikubwa ambavyo hatuna njia wala uwezo wa kuvifikia….utahuzunika tu…..kula bata na hilo jero bhana✌️
 
Sasa usipoishi kwa furaha hiyo huzuni utamhuzunikia nani kwenye Hii dunia ambayo kila mtu anapambania ugali wake.
Uhuzunike,ufurahi lakini mwisho wa siku utakufa tu…we enjoy tu kwa kweli…

Ukipata mia mbili mtafute mwenye kuikubali Mia kula maisha….tatizo tunataka vikubwa ambavyo hatuna njia wala uwezo wa kuvifikia….utahuzunika tu…..kula bata na hilo jero bhana✌️
Good evening!
madam To yeye
 
ARE YOU HAPPY WITH YOUR LIFE?

Swali rahisi… lakini jibu lake si rahisi kwa wengi.

Kila siku tunaamka, tunafanya kazi, tunatafuta pesa, tunajenga mahusiano, tunapambana na changamoto. Lakini mwisho wa siku ukiwa peke yako, bila kelele za dunia unaweza kusema kwa dhati kuwa unafurahia maisha yako?

• Je, unaishi maisha unayotaka au unafuata mkondo tu?

• Furaha yako inategemea nini pesa, watu, mafanikio, au kitu kingine?

• Kama jibu ni “hapana”, ni nini kinakuzuia kubadilisha hali yako?

Watu wengi wanaonekana wako sawa nje, lakini ndani kuna maswali mengi ambayo hayajapata majibu.

Toa maoni yako kwa uhalisia hakuna jibu sahihi au baya.
Kutafuta furaha nako ni sababu ya kukosa furaha.

I am reading existentialist philosophers like Albert Camus and Jean-Paul Sartre on the absurdity of life.

Particularly "The Myth of Sysiphus" but also "The Stranger".

Life is absurd and ultimately meaningless, we can retreat into the comfortable myths of religiosity or the despair of nihilism, but we should reject both and face facts, we have to give life meaning with realism.
 
Sasa usipoishi kwa furaha hiyo huzuni utamhuzunikia nani kwenye Hii dunia ambayo kila mtu anapambania ugali wake.
Uhuzunike,ufurahi lakini mwisho wa siku utakufa tu…we enjoy tu kwa kweli…

Ukipata mia mbili mtafute mwenye kuikubali Mia kula maisha….tatizo tunataka vikubwa ambavyo hatuna njia wala uwezo wa kuvifikia….utahuzunika tu…..kula bata na hilo jero bhana✌️
Ukweli mchungu kudadeki
 
Dini na Imani nyingi zimewajenga binadamu katika kuamini na kuishi katika duality (pande mbili)

Mfano kati ya Nuru na giza unachagua nuru, kati ya furaha na huzuni unachagua furaha au kati ya juu na chini unachagua juu.

Katika kuchagua upande ndipo mtanzio na matatizo yanapotokea.
Kwanini tusikubali giza kama usiku unapoingia kwa kutambua kuwa ni sehemu ya maisha?

Badala ya kuchagua furaha ni vyema ukubali na kujiandaa kukutana na kukabiliana na chochote kijacho. Ikija furaha yes furahi to the maximum na ikija huzuni pia huzunika ipasavyo.
 
Dini na Imani nyingi zimewajenga binadamu katika kuamini na kuishi katika duality (pande mbili)

Mfano kati ya Nuru na giza unachagua nuru, kati ya furaha na huzuni unachagua furaha au kati ya juu na chini unachagua juu.

Katika kuchagua upande ndipo mtanzio na matatizo yanapotokea.
Kwanini tusikubali giza kama usiku unapoingia kwa kutambua kuwa ni sehemu ya maisha?

Badala ya kuchagua furaha ni vyema ukubali na kujiandaa kukutana na kukabiliana na chochote kijacho. Ikija furaha yes furahi to the maximum na ikija huzuni pia huzunika ipasavyo.
Ww unaweza kukubaliana na shida just because ni part ya duality?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom