Wamtaa huu
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 168
- 55
Roma ni msanii mzuri sana lakini inabidi abadilike.Ana style na mistari mikali tuu.Tatizo linakuja pale ngoma zake zote zinafanana kimidundo na kimaudhui.Chorus tu ndo tofauti!Hata kama producer ni mmoja lakini sio lazima ngoma zote zifuate the same pattern.
Inabidi ajifunze kubadilisha maudhui na midundo halafu ile identity yake ya "Uroma" akaendelea kuimaintain(If you know what am talking about).Sasa hivi ukichukua miziki yake yote na ukafuta chorus zote ukaanza kusikiliza,hautajua kama ilikuwa miziki tofauti.
Otherwise he is doing good.
Inabidi ajifunze kubadilisha maudhui na midundo halafu ile identity yake ya "Uroma" akaendelea kuimaintain(If you know what am talking about).Sasa hivi ukichukua miziki yake yote na ukafuta chorus zote ukaanza kusikiliza,hautajua kama ilikuwa miziki tofauti.
Otherwise he is doing good.