Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya kawaida sana nimeisikiliza mara nyingi, nadhan karopoka and is so direct sanaa haiko ivyo..hakuna jipya hapo.
Kasikilize Miss Tanzania na Homa ya dunia za Solo Thang ndo utaelewa mkuu sixgates alikuwa anamaanisha kitu gani.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Homa ya dunia!??? unafahamu alikokua ana copy hayo mashairi!?
Ni ya kawaida sana nimeisikiliza mara nyingi, nadhan karopoka and is so direct sanaa haiko ivyo..hakuna jipya hapo.
Kasikilize Miss Tanzania na Homa ya dunia za Solo Thang ndo utaelewa mkuu sixgates alikuwa anamaanisha kitu gani.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ni ya kawaida sana nimeisikiliza mara nyingi, nadhan karopoka and is so direct sanaa haiko ivyo..hakuna jipya hapo.
hili ni bonge la ngoma, linaweza likawa tatizo kwako mana amewachana magamba.
Pole sana kwa mawazo yako ya kibaguzi!kwa taarifa yako ROMA ni Muislam na R.O.M.A ni kifupi cha jina lake na ndugu zakeRoma ajawai kutoa ngoma mpya,sijaona kipya kabisa hapo,ukisikiliza tangia anatoka hadi sasa anaimba kitu kilekile na flow ni ileile ya makelele..zaidi ni muendelezo wa kutumia majina ya watu maharufu kuyataja negatively ili apate atenshen...labda kipya ni kawachana waislam which is so bad.
unaitwaje?
hahahahahahahahahahahahahahah!..Udini Wa Ma-Presenter, Sisi Wapagani Unatuumiza.anaitwa ibrahim mussa ni muislamu babu..