Sasa si uimbi na wewe ili uwataje ambao Roma haja wataja..Waislam kawaambia ukweli na waislam wenye akili timamu wakiusikiliza huu wimbo hakika hawawezi kumchukia Roma...nina siku kama ya kumi naurudia huu wimbo kwa siku huwa nausikiliza zaidi ya mara tatu hakika roma kaongea ukweli..acha chuki au huja usikiliza vizuri..huyu Roma anataka sifa za kijinga sana sana....me pia sijawahi one kitu kipya kwake zaidi ya theme ile ile na kutaja majina ya watu maharufu apate sifa za kizushi! kwani nyimbo haiewezi kuhit bila kumtaja riz, jk au slaa?? mbona hamtaji Slaa anayechukua wake za watu au Mbowe aliyemjaza mimba mwanachama wa chadema? au yule boya wa Mwanga aliyebaka mtoto wa miaka 17 mbona hawataji humo???? dogo atapotezwa sana yani kawasema vibaya sana waislamu ngoja wazee wa uamsho wampate
Unapo bwatukia majambazi, majangiri lazima ufananishwe na kichaa lakini ujumbe umeupata?anabwatuka kama kichaa
Unapo bwatukia majambazi, majangiri lazima ufananishwe na kichaa lakini ujumbe umeupata?
Hivi unajua bangi baadhi ya mikoa ni mboga kama mchicha tu..nimekwambia kama kuna watu haja wasema na wewe unataka awaseme, mpelekee hayo majina komba au Vicky Kamata akawachane mbona simple tu mkuu..kama anatumia bangi na anaendesha maisha yake haji kukuomba unga ina kuuma nini? na siyo lazima wewe umkubali lakini wengi wana mkubali mfano hapa Arusha ukipiga wimbo wake wa Mathematics watu ni mzuka mwanzo mwisho kwa huu mpya sipati picha...stail yake ya wavuta bangi..its not hip hop anayoifanya huyo mvuta bangi ni makelele tu kama ya kichaa
Pole sana kwa mawazo yako ya kibaguzi!kwa taarifa yako ROMA ni Muislam na R.O.M.A ni kifupi cha jina lake na ndugu zake
Tupia shairi hizo mwana!
Jaman mm cjausikia au niko nyuma ya dunia?
huyu Roma anataka sifa za kijinga sana sana....me pia sijawahi one kitu kipya kwake zaidi ya theme ile ile na kutaja majina ya watu maharufu apate sifa za kizushi! kwani nyimbo haiewezi kuhit bila kumtaja riz, jk au slaa?? mbona hamtaji Slaa anayechukua wake za watu au Mbowe aliyemjaza mimba mwanachama wa chadema? au yule boya wa Mwanga aliyebaka mtoto wa miaka 17 mbona hawataji humo???? dogo atapotezwa sana yani kawasema vibaya sana waislamu ngoja wazee wa uamsho wampate