Mjomba Malume
JF-Expert Member
- Apr 8, 2025
- 903
- 1,317
Nataka kukifahamu hicho kitu ambacho anadai Ronaldo ame achieve ambacho ni zaidi ya extraordinary.😃😃😃 Swali la kikatili sana hili
Nataka kukifahamu hicho kitu ambacho anadai Ronaldo ame achieve ambacho ni zaidi ya extraordinary.😃😃😃 Swali la kikatili sana hili
Giuliano aliwekewa mpira mbele ya mabeki akaedna kupiga krosi , pasi toka kwa namba kumi argentina au ile jezi anavaaga Mpanzu sheikh wng ?Yesterday Messi had just 5 touches. Out of those 5, three were from corner kicks.
View attachment 3633671
Amegusia eti ronado ndio aliwatoa mavumbini ureno wakashinda euro na nations leagueNataka kukifahamu hicho kitu ambacho anadai Ronaldo ame achieve ambacho ni zaidi ya extraordinary.
Hao ndio waamuzi wa ushindi kwa mataifa yao
😃😃 Ila wc inauma sana, kulikosa mtu kama ronado ni pengoHao ndio waamuzi wa ushindi kwa mataifa yao
Moja pendu aligeuka kocha kbs
Spain aliyoifunga tatu kulikuwako na Shati la Manjesta glolini , Likapigwa goli la PenatiAmegusia eti ronado ndio aliwatoa mavumbini ureno wakashinda euro na nations league
Alifunga kwenye hatua gan?Spain aliyoifunga tatu kulikuwako na Shati la Manjesta glolini , Likapigwa goli la Penati
Likapigwa goli la set piece
Likapigwa kichuti akati linalala kudaka kichuti likaachia kizembe.
Hii ilikuwa zamu yake😃😃 Ila wc inauma sana, kulikosa mtu kama ronado ni pengo
MakundiAlifunga kwenye hatua gan?
Hicho kitu ndio zaidi ya extraordinary kweli?Amegusia eti ronado ndio aliwatoa mavumbini ureno wakashinda euro na nations league
Ureno hua inakikosi kizuri sana, sijui kwanin hawajawah kufika hata fainal, Mimi naona timu kubwa kama Argentina Messi alikua na deni ukilinganisha na watangulizi wake, naamini ronaldo akistaafu ureno itacheza finalHii ilikuwa zamu yake
Kwa kile kikosi daaah sifa za kupenda ukuu ukuu zikafanya wamkatae
Mimi jamaa namuelewi, mapenzi kwa ronaldo yamemfanya awe kipofu, eti anasema kama messi amecomplete football kwanin Jana alilia??! 🤣Hicho kitu ndio zaidi ya extraordinary kweli?
Vipi yule mchezaji aliyefikisha contribution ya zaidi ya mabao 100 kwa mwaka na hakuna aliyewahi kufanya hivyo zaidi yake?
Urithi wa Mzee wao huo au humuonagi majibu yake ya kishujaa ?Mimi jamaa namuelewi, mapenzi kwa ronaldo yamemfanya awe kipofu, eti anasema kama messi amecomplete football kwanin Jana alilia??! 🤣
Mwingine anasema kama messi ana kila kombe basi kwanini alienda kucheza fainal 😃😃
Team ronaldo ni zaidi ya burudani
Ni hatarUrithi wa Mzee wao huo au humuonagi majibu yake ya kishujaa ?
Umeamia huku?Nipe kikosi Bora cha world cup Mzee baba
Chochote ambacho amekifanya Ronaldo ni extraordinaryKitu gani hicho alicho achieve Ronaldo ambacho unaona ni extraordinary migo?
So appealing yako ni kwamba unaweka sawa takwimu kuwa ilikuwa ni 6 touches na sio 5?Giuliano aliwekewa mpira mbele ya mabeki akaedna kupiga krosi , pasi toka kwa namba kumi argentina au ile jezi anavaaga Mpanzu sheikh wng ?
Namimi nataka maoni yakoUmeamia huku?
Sasa kikosi bora si maoni ya watu tu kama ambavyo mashabiki wenzako wakilalamikia tuzo ya mchezaji bora kupewa Rodri.
Kwako unakubali Rodri ni mchezaji bora kuliko Messi?
Hayo ni maoni yako maana hata naona mafanikio ya Messi ni yake mwenyewe sio ya kupewa.Chochote ambacho amekifanya Ronaldo ni extraordinary
Mafanikio yote ya Ronaldo ni earning sio given.