2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Spain walijikoroga kuchukua mtu anayetoka kwenye ligi ya kuumua watu kuzidi uwezo wao naona hata safari hii Raya kakaa mbao ndefu hawakurudia makosa.
Hakuishia kwa Ronaldo alikuja kuoffer tena goli kwa Messi. Komalia prime ya epl ilikuja kuonyeshwa matundu world cup.
Mchango wa goli kwa ligi WC 2026
🥇 Premier League (England) – magoli 46
🥈 La Liga (Hispania) – magoli 26
🥉 Bundesliga (Ujerumani) – magoli 18
Ligue 1 (Ufaransa) – magoli 16
Serie A (Italia) – magoli 14
 
🚨🗣Toni Kroos on Argentina world cup:

"All I can say is that, football won today, they got the easiest path to the final"

"And they still got help from the Referees and some of the higher authorities too, I am sure 90% of the world was supporting Spain today and we all know why"
FB_IMG_1784581556830.jpg
 
Mkuu sonona itakuua, habari za Messi achana nazo. Huyo mbuzi wako hakuna kitu hata kimoja anachomzidi Messi zaidi ya urefu na followers instagram 😂😂
Uko wapi?

Yale makeke na ucheshi wako saizi siyaoni.

Imekuwa ghafla sana, shida nini Mkuu?
 
Cristiano anawaumiza sana kina Scars ni vile tu hawawezi kukiri. Imagine hiyo performance ya goat wao. Huyu ni goat kweli au Magoti Mkama wa Ukerewe?
Kwanini Argentina ikifungwa mashabiki wake wote mnaingia shimoni?
FB_IMG_1782383545188.jpg


Nataka nijue siri ya huu umoja wenu ni nini?

Huwa mnaambizana au inatokea tu automatically?

Kwasababu ni jambo ambalo linanifikirisha sana.
 
Jana muda kama huu ndio tulianza safari yetu ya kusherehekea ushindi wetu.

Happy 1 day anniversary to all those celebrating.

We finna catch up later, let's take a lil break for a while
FB_IMG_1784584789016.jpg
 
Stats za Messi kwenye World Cup fainal ya 2014 vs Germany 🇩🇪:
1 key pass.
2 crosses (0 accurate).
25 accurate passes (69%).
3 accurate long balls (60%).
4 shots (0 on target).
1 big chance missed.
7 successful dribbles (12 attempted).
27 times possession lost.
9 duels won (24 contested).
0 goal.
0 assist.

Messi kwenye World Cup final ya 2026 vs Spain 🇪🇸:
0 key pass.
5 crosses (1 accurate).
27 accurate passes (79%).
1 accurate long ball (20%).
1 shot (0 on target).
3 successful dribbles (3 attempted).
15 times possession lost.
8 duels won (12 contested).
0 goal.
0 assist.

Which team did a better job at containing the GOAT?
FB_IMG_1784621273415.jpg
 
Mi kama die fan wa shabiki wa Ronaldo kiukweli sina tatizo kabisa na Messi

Tatizo langu kubwa siku zote ni ule upendeleo wa FIFA na injustice wanayofanya.

Messi na Ronaldo wote ni wachezaji wazuri, most talented and gifted football stars. Lakini hata hivyo kuna mmoja amekuwa protected sana na mifumo wakati huyu mwingine ni mpaka apitie misoto ya changamoto ndio apate hiyo recognition.

Of fourse nakubali kuwa ubora unapaswa kushangiliwa na sio sawa kutumika kama instrument ya kugawanya.

Uwe shabiki wa Ronaldo au Messi, wote tunahitaji kuwaona hawa viumbe kama role model and source of motivation, kwenye real life hata katika ulimwengu wa soka.

Kwangu mimi, nimechagua kum idolize yule ambaye alisimama against an entire system na bado aka out perfom na kuwa kwenye kilele cha juu cha ubora.

Namchagua mtoto mwenye umri wa miaka 12 aliyetokea kwenye kisiwa cha Madeira Ureno akiwa hana kitu, na kwenda kuwa bilionea wa kwanza kwenye historia ya mpira wa miguu kupitia kipaji chake.

Mwisho wa siku, I don’t take pleasure in someone’s pain or downfall. But the way some of you take pleasures in Cristiano Ronaldo’s down falls speaks volumes.
Screenshot_20260721-111101.png
 
Stats za Messi kwenye World Cup fainal ya 2014 vs Germany 🇩🇪:
1 key pass.
2 crosses (0 accurate).
25 accurate passes (69%).
3 accurate long balls (60%).
4 shots (0 on target).
1 big chance missed.
7 successful dribbles (12 attempted).
27 times possession lost.
9 duels won (24 contested).
0 goal.
0 assist.

Messi kwenye World Cup final ya 2026 vs Spain 🇪🇸:
0 key pass.
5 crosses (1 accurate).
27 accurate passes (79%).
1 accurate long ball (20%).
1 shot (0 on target).
3 successful dribbles (3 attempted).
15 times possession lost.
8 duels won (12 contested).
0 goal.
0 assist.

Which team did a better job at containing the GOAT?
View attachment 3634124
Tupe na za Ronaldo kwenye fainali zake za World Cup.
 
Tupe na za Ronaldo kwenye fainali zake za World Cup.
Za Ronaldo tulishazijadili ile siku ambayo alitolewa.

Now ni Messi ambaye ametolewa
FB_IMG_1784634703447.jpg

Na sasa tunajikita zaidi kuangazia stats zake ambazo zinaweza kuchochea kupata Ballon d'Or.

FB_IMG_1784634706176.jpg
 
Put your hands up if you can relate
 
Back
Top Bottom