2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

images (6).jpeg

Mungu wa Pendu bahiri sn yani hata medali
 
Inamana huko duniani wanatoa maoni, ila facts unazo wewe, ebana upo vizuri sana mkuu
Nimekupa mfano rahisi sana.

Rodri kachukua tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia, mashabiki wengi wa Argentina wamepinga uhalali wa hii tuzo unajua kwanini?

Kabla ya fainali, Messi ndiye aliyekuwa akipewa nafasi kubwa kuchukua tuzo hiyo ya Golden Ball kwa zaidi ya 90%

Sasa kilichotokea.

Rodri amekuja kuichukua hii tuzo, na sababu kuu ambayo ipo wazi ni kwamba Rodri alicheza vizuri kwenye fainali kuliko Messi.

Hoja inabaki kuwa, je kuwa na performance nzuri kwenye game ya mwisho ya fainali ndio kigezo ambacho kinakufanya ustahili tuzo ya uchezaji bora ambayo inahusisha mechi zote?

And for some reason naona wanao hoji hivi wana logic.
 
Spain walijikoroga kuchukua mtu anayetoka kwenye ligi ya kuumua watu kuzidi uwezo wao naona hata safari hii Raya kakaa mbao ndefu hawakurudia makosa.
Hakuishia kwa Ronaldo alikuja kuoffer tena goli kwa Messi. Komalia prime ya epl ilikuja kuonyeshwa matundu world cup.
Unajua hata Ligi namba moja kwa ubora duniani ni ipi?

Hivi unafikiri tunaposema Ronaldo ni GOAT kwasababu kacheza ligi 3 katika ubora uleule unadhani tunakosea?

Kama Messi league 1 ya Ufaransa ilimshinda, unawezaje kuwa na guts za kuidharau EPL?
 
Spain walijikoroga kuchukua mtu anayetoka kwenye ligi ya kuumua watu kuzidi uwezo wao naona hata safari hii Raya kakaa mbao ndefu hawakurudia makosa.
Hakuishia kwa Ronaldo alikuja kuoffer tena goli kwa Messi. Komalia prime ya epl ilikuja kuonyeshwa matundu world cup.
Mchango wa goli kwa ligi WC 2026
🥇 Premier League (England) – magoli 46
🥈 La Liga (Hispania) – magoli 26
🥉 Bundesliga (Ujerumani) – magoli 18
Ligue 1 (Ufaransa) – magoli 16
Serie A (Italia) – magoli 14
 
🚨🗣Toni Kroos on Argentina world cup:

"All I can say is that, football won today, they got the easiest path to the final"

"And they still got help from the Referees and some of the higher authorities too, I am sure 90% of the world was supporting Spain today and we all know why"
FB_IMG_1784581556830.jpg
 
Mkuu sonona itakuua, habari za Messi achana nazo. Huyo mbuzi wako hakuna kitu hata kimoja anachomzidi Messi zaidi ya urefu na followers instagram 😂😂
Uko wapi?

Yale makeke na ucheshi wako saizi siyaoni.

Imekuwa ghafla sana, shida nini Mkuu?
 
Cristiano anawaumiza sana kina Scars ni vile tu hawawezi kukiri. Imagine hiyo performance ya goat wao. Huyu ni goat kweli au Magoti Mkama wa Ukerewe?
Kwanini Argentina ikifungwa mashabiki wake wote mnaingia shimoni?
FB_IMG_1782383545188.jpg


Nataka nijue siri ya huu umoja wenu ni nini?

Huwa mnaambizana au inatokea tu automatically?

Kwasababu ni jambo ambalo linanifikirisha sana.
 
Jana muda kama huu ndio tulianza safari yetu ya kusherehekea ushindi wetu.

Happy 1 day anniversary to all those celebrating.

We finna catch up later, let's take a lil break for a while
FB_IMG_1784584789016.jpg
 
Stats za Messi kwenye World Cup fainal ya 2014 vs Germany 🇩🇪:
1 key pass.
2 crosses (0 accurate).
25 accurate passes (69%).
3 accurate long balls (60%).
4 shots (0 on target).
1 big chance missed.
7 successful dribbles (12 attempted).
27 times possession lost.
9 duels won (24 contested).
0 goal.
0 assist.

Messi kwenye World Cup final ya 2026 vs Spain 🇪🇸:
0 key pass.
5 crosses (1 accurate).
27 accurate passes (79%).
1 accurate long ball (20%).
1 shot (0 on target).
3 successful dribbles (3 attempted).
15 times possession lost.
8 duels won (12 contested).
0 goal.
0 assist.

Which team did a better job at containing the GOAT?
FB_IMG_1784621273415.jpg
 
Back
Top Bottom