2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Simchukii Messi, na appreciate kila kitu alichofanya kwenye ulimwengu wa soka japo mashabiki wake mmekuwa mki exaggerate l.

Lakini ukweli unabakia kwamba Ronaldo ndio GOAT. Tushaona mtu yeyote anaweza kushinda World Cup, Italy na Brazil wanechukua back to back.

Pedri naye anakuwa ni miongoni mwa wachezaji waliobahatika kushinda World Cup licha ya stats zake zilivyokuwa za mashaka ambazo wote tunazijua.

Lakini kile ambacho Ronaldo ame achieve kwenye soka ni zaidi ya extraordinary, kufanya alichofanya Ronaldo kunahitaji zaidi ya kipaji ili kufikia ile level.

Pengine asingekuwepo Ronaldo huwenda ningetakiwa kuchagua kati ya Messi na Pele.

Lakini kwasababu Ronaldo Aviero Dos Santos yupo, wala hakuna haja ya mjadala.

Messi's only crime was existing in the same generation as CR7, because there can only be one GOAT, and it can't be anyone else when CR7 is still in the picture.
Mafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.
 
Mafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.
Mimi Messi hata asingekua na magoli meng na mafanikio makubwa, Ile style of playing sio mchezo, Kuna mda anacheza kama namba 8, mara nyingne namba 10, Kuna mda anatokea pembeni, Mimi kwanza siwezagi kufananisha wachezaji ambao hawafanani kama messi na ronado
 
Screenshot_20260720_204717_Instagram.jpg


Sio mbaya, medali, INGEKUA Hana worldcup na Copa America huyu jamaa sijui ingekuaje
 
Watu wanachukulia wc ni mpechempeche, lile kombe sio mchezo inahitaji uwe na timu kweli ndio ulibebe
 
Umeisaidiaje timu Yako kuchukua kombe ngazi ya taifa? Magoli ya timu ya taifa ya mechi za kirafiki nayo yapo?
Swali zuri.

Kabla ya Ronaldo, Ureno ilikuwa imefuzu mara tatu tu kombe la dunia. Ambapo ilikuwa ni mwaka 1966, 1986, na 2002.

Lakini baada ya Ronaldo imekuwa ni back to back hakuna mwaka ambao Portugal hajafuzu kucheza World Cup.

Mbali na hizo qualifiers za World Cup, Portugal likuwa haina kombe lolote.

Ronaldo ndiye aliyebadilisha historia hiyo kwa kuiongoza Portugal kushinda mataji yao ya kwanza kabisa ya kimataifa ikiwemo Euro 2016 na UEFA Nations League 2019.
 
Mafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.
Mmekuwa mkitaja kombe la dunia kama kipimo pale mjadala wa Messi na Ronaldo unapoanza.

Mimi nina challenge nyingine tofauti.

Wachezaji waliochukua kombe la dunia ni zaidi ya 400.

Lakini mchezaji aliyeifunga Spain hattrick ikiwa katika prime yake ni mmoja tu
FB_IMG_1784549532556.jpg
 
Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.

Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?

Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?

Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?

Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??

Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.

Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.

Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Huachii mashabiki wa pessi wapumue kidogo?
 
Swali zuri.

Kabla ya Ronaldo, Ureno ilikuwa imefuzu mara tatu tu kombe la dunia. Ambapo ilikuwa ni mwaka 1966, 1986, na 2002.

Lakini baada ya Ronaldo imekuwa ni back to back hakuna mwaka ambao Portugal hajafuzu kucheza World Cup.

Mbali na hizo qualifiers za World Cup, Portugal likuwa haina kombe lolote.

Ronaldo ndiye aliyebadilisha historia hiyo kwa kuiongoza Portugal kushinda mataji yao ya kwanza kabisa ya kimataifa ikiwemo Euro 2016 na UEFA Nations League 2019.
Nazungumzia ngazi ya juu kabisa ya soccer duniani, wc, sio ngazi ya kikanda hiyo upande wa ulaya, halafu mbona kama unamdhalilisha ronaldo? Ronaldo ni MCHEZAJI mkubwa sio wa kuzungumzia hizo level za euro na nations league, ronaldo inatakiwa tujadili ana magoli mangapi kwenye world cup na tuzo ngapi
 
Nazungumzia ngazi ya juu kabisa ya soccer duniani, wc, sio ngazi ya kikanda hiyo upande wa ulaya, halafu mbona kama unamdhalilisha ronaldo? Ronaldo ni MCHEZAJI mkubwa sio wa kuzungumzia hizo level za euro na nations league, ronaldo inatakiwa tujadili ana magoli mangapi kwenye world cup na tuzo ngapi
Kwani kilichomfanya Messi atangaze kustaafu ilikuwa ni kombe la dunia?
 
Screenshot_20260720_211606_Instagram.jpg


Ikitokea hata tumepata mechi ya kwenda kucheza na majitu ya kutoka mwezini huko, hichi kikosi ndio kitatumwa kikaitetee dunia

Kama MCHEZAJI WAKO hayupo JITAFAKARI sana
 
Back
Top Bottom