comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,120
- 16,118
Jamaa anaitwa scars atatoka na mapanga mda sio mrefuYule Mbuzi wa Ureno..
Jamaa anaitwa scars atatoka na mapanga mda sio mrefuYule Mbuzi wa Ureno..
Mafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.Simchukii Messi, na appreciate kila kitu alichofanya kwenye ulimwengu wa soka japo mashabiki wake mmekuwa mki exaggerate l.
Lakini ukweli unabakia kwamba Ronaldo ndio GOAT. Tushaona mtu yeyote anaweza kushinda World Cup, Italy na Brazil wanechukua back to back.
Pedri naye anakuwa ni miongoni mwa wachezaji waliobahatika kushinda World Cup licha ya stats zake zilivyokuwa za mashaka ambazo wote tunazijua.
Lakini kile ambacho Ronaldo ame achieve kwenye soka ni zaidi ya extraordinary, kufanya alichofanya Ronaldo kunahitaji zaidi ya kipaji ili kufikia ile level.
Pengine asingekuwepo Ronaldo huwenda ningetakiwa kuchagua kati ya Messi na Pele.
Lakini kwasababu Ronaldo Aviero Dos Santos yupo, wala hakuna haja ya mjadala.
Messi's only crime was existing in the same generation as CR7, because there can only be one GOAT, and it can't be anyone else when CR7 is still in the picture.
Mimi Messi hata asingekua na magoli meng na mafanikio makubwa, Ile style of playing sio mchezo, Kuna mda anacheza kama namba 8, mara nyingne namba 10, Kuna mda anatokea pembeni, Mimi kwanza siwezagi kufananisha wachezaji ambao hawafanani kama messi na ronadoMafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.
Huyu anatafuta UEFA tu kwa Sasa maana bado haamini amepishana na Uefa 2 toka aondoke PSG...View attachment 3633726
Kwa muunganiko wa Barcelona ulivyo na wale vijana wao, mbappe kushinda la Liga atasubiri sana 😃
Kucheza Fainali 3 za World Cup na kushinda 1 sio jambo dogo.View attachment 3633789
Sio mbaya, medali, INGEKUA Hana worldcup na Copa America huyu jamaa sijui ingekuaje
Sio mchezo, wengine wanaangalia kishabiki, timu kama ureno haijawahiKucheza Fainali 3 za World Cup na kushinda 1 sio jambo dogo.
Swali zuri.Umeisaidiaje timu Yako kuchukua kombe ngazi ya taifa? Magoli ya timu ya taifa ya mechi za kirafiki nayo yapo?
Mmekuwa mkitaja kombe la dunia kama kipimo pale mjadala wa Messi na Ronaldo unapoanza.Mafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.
Huachii mashabiki wa pessi wapumue kidogo?Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.
Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?
Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?
Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?
Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??
Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.
Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.
Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Nazungumzia ngazi ya juu kabisa ya soccer duniani, wc, sio ngazi ya kikanda hiyo upande wa ulaya, halafu mbona kama unamdhalilisha ronaldo? Ronaldo ni MCHEZAJI mkubwa sio wa kuzungumzia hizo level za euro na nations league, ronaldo inatakiwa tujadili ana magoli mangapi kwenye world cup na tuzo ngapiSwali zuri.
Kabla ya Ronaldo, Ureno ilikuwa imefuzu mara tatu tu kombe la dunia. Ambapo ilikuwa ni mwaka 1966, 1986, na 2002.
Lakini baada ya Ronaldo imekuwa ni back to back hakuna mwaka ambao Portugal hajafuzu kucheza World Cup.
Mbali na hizo qualifiers za World Cup, Portugal likuwa haina kombe lolote.
Ronaldo ndiye aliyebadilisha historia hiyo kwa kuiongoza Portugal kushinda mataji yao ya kwanza kabisa ya kimataifa ikiwemo Euro 2016 na UEFA Nations League 2019.
Kwani kilichomfanya Messi atangaze kustaafu ilikuwa ni kombe la dunia?Nazungumzia ngazi ya juu kabisa ya soccer duniani, wc, sio ngazi ya kikanda hiyo upande wa ulaya, halafu mbona kama unamdhalilisha ronaldo? Ronaldo ni MCHEZAJI mkubwa sio wa kuzungumzia hizo level za euro na nations league, ronaldo inatakiwa tujadili ana magoli mangapi kwenye world cup na tuzo ngapi
Nipe kikosi Bora cha world cup Mzee babaKwani kilichomfanya Messi atangaze kustaafu ilikuwa ni kombe la dunia?
Kitu gani hicho alicho achieve Ronaldo ambacho unaona ni extraordinary migo?Lakini kile ambacho Ronaldo ame achieve kwenye soka ni zaidi ya extraordinary, kufanya alichofanya Ronaldo kunahitaji zaidi ya kipaji ili kufikia ile level.
😃😃😃 Swali la kikatili sana hiliKitu gani hicho alicho achieve Ronaldo ambacho unaona ni extraordinary migo?
Kwamba lonado Hana msaada,,?