2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Nilisahau kutoa shukrani za dhati kwa uran kwa kuanzisha huu uzi. Shukrani kwa wote mliokuwa mkipita hapa kila siku kwa coment na mapicha.
Niwatakie wote afya na baraka tele. Mkae na amani ya bwana.
Asante sana mkuu.
🫡🫡
 
Spain aliyoifunga tatu kulikuwako na Shati la Manjesta glolini , Likapigwa goli la Penati
Likapigwa goli la set piece
Likapigwa kichuti akati linalala kudaka kichuti likaachia kizembe.
Kama ulikuwa haujui, hiyo ndio ilikuwa prime ya DeGea

Ndio kipa anayeshikilia rekodi ya kufanya saves 14 kwenye mechi moja na hapo usisahau 2017 ndio alienda mechi 18 bila kuruhusu bao.

Mind you hiyo ni EPL ambayo ni more intensively kuliko Laliga.
 
FIFA RANKING

Screenshot_20260720_221945_Instagram.jpg
 
Hayo ni maoni yako maana hata naona mafanikio ya Messi ni yake mwenyewe sio ya kupewa.

Sasa tuachane na maoni tuangalia uhalisia ambao kila mtu anauona ni kipi hicho extraordinary kimefanywa na Ronaldo?
Amepewa na hata hili pia ilibakia hivi
giphy.gif



Apewe
 
Kweli tumerudi wenye roho mbaya pro. Hongera kwa ushindi wa dogo, I know we jana ulikuwa kotekote
kwa mara ya kwanza jana sikutaa messi afnge wala shinda nilitamani madogo wa spain wachuue bingwa.... i was so happy for them. vipi wewe uliangalia?
 
we kichwa mimi nilikua team spain kwenye WC nilikua nina team mbili tu na zote zimetinga finali....ila jana nilikua pande wa yamal sikutaka messi achukue coz hana nachomdai. i was so happy for yamal
HII IPINIWE PALE JUU "MESSI HUNA UNACHOMDAI" WAPENDA SOKA NA MASHABIKI WA MESSI KESI YAO ILIISHIA PALE QATAR
 
Hana pete ya world cup. Ushabadili gia angani🤣🤣🤣😂😂😂ndo maana alilia sana alijua tu mashabiki wake mtamkana mara tatu kama Yuda vile. Mwenzenu alitaka azindue pete mpya za FIFA nyie mnaleta nyimbo zilipendwa
we kichwa mimi nilikua team spain kwenye WC nilikua nina team mbili tu na zote zimetinga finali....ila jana nilikua pande wa yamal sikutaka messi achukue coz hana nachomdai. i was so happy for yamal
view once
1784546692406.jpg
 
So appealing yako ni kwamba unaweka sawa takwimu kuwa ilikuwa ni 6 touches na sio 5?

Okay twende na hizo hizo 6 ambazo umeona sio fair kumpunguzia 1 ambayo aliitolea jasho.

Kingine?
Shida yako ni kudogoisha anayofanya Messi na huku stats zipo wazi kuhusu duels zote na touches zaidi ya 50.
Wewe endelea kuokoteza unakokujua wewe.
 
Mashabiki wake wamemkana kabla ya jogoo kuwika
Goti haamini.
Binadamu wabaya sana
 

Attachments

  • PXL_20260719_223735678.MP.jpg
    PXL_20260719_223735678.MP.jpg
    1 MB · Views: 6
Kama ulikuwa haujui, hiyo ndio ilikuwa prime ya DeGea

Ndio kipa anayeshikilia rekodi ya kufanya saves 14 kwenye mechi moja na hapo usisahau 2017 ndio alienda mechi 18 bila kuruhusu bao.

Mind you hiyo ni EPL ambayo ni more intensively kuliko Laliga.
Spain walijikoroga kuchukua mtu anayetoka kwenye ligi ya kuumua watu kuzidi uwezo wao naona hata safari hii Raya kakaa mbao ndefu hawakurudia makosa.
Hakuishia kwa Ronaldo alikuja kuoffer tena goli kwa Messi. Komalia prime ya epl ilikuja kuonyeshwa matundu world cup.
 
Back
Top Bottom