uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 18,391
- 30,659
Kama ulikuwa haujui, hiyo ndio ilikuwa prime ya DeGeaSpain aliyoifunga tatu kulikuwako na Shati la Manjesta glolini , Likapigwa goli la Penati
Likapigwa goli la set piece
Likapigwa kichuti akati linalala kudaka kichuti likaachia kizembe.
Nilijua unataka factNamimi nataka maoni yako
Amepewa na hata hili pia ilibakia hiviHayo ni maoni yako maana hata naona mafanikio ya Messi ni yake mwenyewe sio ya kupewa.
Sasa tuachane na maoni tuangalia uhalisia ambao kila mtu anauona ni kipi hicho extraordinary kimefanywa na Ronaldo?
Wamewafanya kama nyumbu😂Mashabiki wa penaldo na pessi kwa muda sasa wa miaka zaidi ya 16 mmekua mnavutana sana hawa jamaa waliroga waganga wao wako vizuri
Jana alikuwa lelelele anatembea tuGOAT for a reason, what a generational performance 🔥
0 Goals
0 Assists
0 Shot on goal
0 Key passes
2 Committed fouls
1 Attempt to cheat
120 Minutes played
View attachment 3633750
kwa mara ya kwanza jana sikutaa messi afnge wala shinda nilitamani madogo wa spain wachuue bingwa.... i was so happy for them. vipi wewe uliangalia?Kweli tumerudi wenye roho mbaya pro. Hongera kwa ushindi wa dogo, I know we jana ulikuwa kotekote
Wewe sio shabiki wa mpira ni shabiki wa Ronaldo.Amepewa na hata hili pia ilibakia hivi
![]()
Apewe
we kichwa mimi nilikua team spain kwenye WC nilikua nina team mbili tu na zote zimetinga finali....ila jana nilikua pande wa yamal sikutaka messi achukue coz hana nachomdai. i was so happy for yamalDa'Vinci nilitegemea nitaona mention yako aah umenidondosha bana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
we vipi m nilikua spain mbona since mwanzoni ila pia nilikua upande wa messi as a barca fanNimesoma.. hali yako ikoje bwana 😂
Inamana huko duniani wanatoa maoni, ila facts unazo wewe, ebana upo vizuri sana mkuuNilijua unataka fact
HII IPINIWE PALE JUU "MESSI HUNA UNACHOMDAI" WAPENDA SOKA NA MASHABIKI WA MESSI KESI YAO ILIISHIA PALE QATARwe kichwa mimi nilikua team spain kwenye WC nilikua nina team mbili tu na zote zimetinga finali....ila jana nilikua pande wa yamal sikutaka messi achukue coz hana nachomdai. i was so happy for yamal
view oncewe kichwa mimi nilikua team spain kwenye WC nilikua nina team mbili tu na zote zimetinga finali....ila jana nilikua pande wa yamal sikutaka messi achukue coz hana nachomdai. i was so happy for yamal
Shida yako ni kudogoisha anayofanya Messi na huku stats zipo wazi kuhusu duels zote na touches zaidi ya 50.So appealing yako ni kwamba unaweka sawa takwimu kuwa ilikuwa ni 6 touches na sio 5?
Okay twende na hizo hizo 6 ambazo umeona sio fair kumpunguzia 1 ambayo aliitolea jasho.
Kingine?
Spain walijikoroga kuchukua mtu anayetoka kwenye ligi ya kuumua watu kuzidi uwezo wao naona hata safari hii Raya kakaa mbao ndefu hawakurudia makosa.Kama ulikuwa haujui, hiyo ndio ilikuwa prime ya DeGea
Ndio kipa anayeshikilia rekodi ya kufanya saves 14 kwenye mechi moja na hapo usisahau 2017 ndio alienda mechi 18 bila kuruhusu bao.
Mind you hiyo ni EPL ambayo ni more intensively kuliko Laliga.