2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

GOAT for a reason, what a generational performance 🔥

0 Goals
0 Assists
0 Shot on goal
0 Key passes
2 Committed fouls
1 Attempt to cheat
120 Minutes played

FB_IMG_1784559523501.jpg
 

Mimi namkubali Messi, ila ronaldo kilichochangia kukosa wc hata final yupo kwenye timu ya kawaida sana Haina historia yoyote worldcup imezidiwa Hadi na Croatia

Mwenye timu ndio yule alipasuka msamba kumzuia yule mchezaji wa Barcelona baada ya pale ...... Nihakikishie ulinzi kwanza.
 



Mwenye timu ndio yule alipasuka msamba kumzuia yule mchezaji wa Barcelona baada ya pale ...... Nihakikishie ulinzi kwanza.
🤣🤣🤣🤣 Funguka Mzee usijali, Mimi mwenyewe baada ya kutoka yule mmakonde nikajua tuu kazi imeisha
 
🤣🤣🤣 Ni kweli ronado ni zaidi hata ya maradona na Pele, kwanza ana makombe yote, jamaa anajua sana aisee
Simchukii Messi, na appreciate kila kitu alichofanya kwenye ulimwengu wa soka japo mashabiki wake mmekuwa mki exaggerate l.

Lakini ukweli unabakia kwamba Ronaldo ndio GOAT. Tushaona mtu yeyote anaweza kushinda World Cup, Italy na Brazil wanechukua back to back.

Pedri naye anakuwa ni miongoni mwa wachezaji waliobahatika kushinda World Cup licha ya stats zake zilivyokuwa za mashaka ambazo wote tunazijua.

Lakini kile ambacho Ronaldo ame achieve kwenye soka ni zaidi ya extraordinary, kufanya alichofanya Ronaldo kunahitaji zaidi ya kipaji ili kufikia ile level.

Pengine asingekuwepo Ronaldo huwenda ningetakiwa kuchagua kati ya Messi na Pele.

Lakini kwasababu Ronaldo Aviero Dos Santos yupo, wala hakuna haja ya mjadala.

Messi's only crime was existing in the same generation as CR7, because there can only be one GOAT, and it can't be anyone else when CR7 is still in the picture.
 
Screenshot_20260720_201905_Instagram.jpg


Mataif makubwa kisoka duniani yenye historia na vinasaba na kombe la DUNIA, Spain kamfikia France na Uruguay
 
Kama World Cup ndio inayo define ubora wa mchezaji basi Kolo Muani ni bora kuliko Harry Kane, Haaland, Neymar, Vini
Hapana,

Ukiweka mchuano hapo huwez kusema eti kilo ni Bora kwa Kane, hapana,

Watu wanasema Messi ni Bora zaidi ya ronaldo maana vitu vingi walikua wanafanana kwenye mafanikio binafsi ila Messi kamzidi hatua Moja mbele kwa upande wa timu ya taifa, sasa Kane na kolo wanafanana kwenye Nini ?
 
Nico yupo Athletic Club, Barca walitaka kumsajili akawatumia kupandisha mshahara wake alipo kisha akawatosa. Hivi mkuu huwa unafatilia soka ama ndo umeanza juzi kufatilia kisa mbusi ndani ya world cup
KWANI Nico yupo Barca? Maana Barca watamhitaji vipi Nico na namba yake washamsajili muingereza Anthony Gordon
 
Nico yupo Athletic Club, Barca walitaka kumsajili akawatumia kupandisha mshahara wake alipo kisha akawatosa. Hivi mkuu huwa unafatilia soka ama ndo umeanza juzi kufatilia kisa mbusi ndani ya world cup
Hahaha ngoja ninyamaze
 
Hapana,

Ukiweka mchuano hapo huwez kusema eti kilo ni Bora kwa Kane, hapana,

Watu wanasema Messi ni Bora zaidi ya ronaldo maana vitu vingi walikua wanafanana kwenye mafanikio binafsi ila Messi kamzidi hatua Moja mbele kwa upande wa timu ya taifa, sasa Kane na kolo wanafanana kwenye Nini ?
Unajua maana ya mafanikio binafsi lakini?

Kombe utasema mafanikio binafsi?

Kati ya Messi na Ronaldo nani mwenye magoli mengi kwenye timu yake ya Taifa?
 
Unajua maana ya mafanikio binafsi lakini?

Kombe utasema mafanikio binafsi?

Kati ya Messi na Ronaldo nani mwenye magoli mengi kwenye timu yake ya Taifa?
Umeisaidiaje timu Yako kuchukua kombe ngazi ya taifa? Magoli ya timu ya taifa ya mechi za kirafiki nayo yapo?
 
Back
Top Bottom