Simchukii Messi, na appreciate kila kitu alichofanya kwenye ulimwengu wa soka japo mashabiki wake mmekuwa mki exaggerate l.
Lakini ukweli unabakia kwamba Ronaldo ndio GOAT. Tushaona mtu yeyote anaweza kushinda World Cup, Italy na Brazil wanechukua back to back.
Pedri naye anakuwa ni miongoni mwa wachezaji waliobahatika kushinda World Cup licha ya stats zake zilivyokuwa za mashaka ambazo wote tunazijua.
Lakini kile ambacho Ronaldo ame achieve kwenye soka ni zaidi ya extraordinary, kufanya alichofanya Ronaldo kunahitaji zaidi ya kipaji ili kufikia ile level.
Pengine asingekuwepo Ronaldo huwenda ningetakiwa kuchagua kati ya Messi na Pele.
Lakini kwasababu Ronaldo Aviero Dos Santos yupo, wala hakuna haja ya mjadala.
Messi's only crime was existing in the same generation as CR7, because there can only be one GOAT, and it can't be anyone else when CR7 is still in the picture.