2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.

Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?

Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?

Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?

Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??

Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.

Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.

Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Mbona Umeandika uzi mkuu?
 
Screenshot_20260720_190756_Instagram.jpg


Kwa muunganiko wa Barcelona ulivyo na wale vijana wao, mbappe kushinda la Liga atasubiri sana 😃
 
Screenshot_20260720_191456_Instagram.jpg


Barcelona ikitoa wachezaji wengi Spain national team, lazima wafanye vizuri, Barcelona ndio nyumba ya vipaji na ndio kiini cha nafanikio ya timu ya taifa
 
Okay. Hapa natamani tu watuongezee Nico Williams maana hana mapenzi na Barca hawezi saliti kambi madrid
KWANI Nico yupo Barca? Maana Barca watamhitaji vipi Nico na namba yake washamsajili muingereza Anthony Gordon
 
When can't win it even with the help of FIFA, referee, just look at the WC and move on
FB_IMG_1784565062801.jpg
 
GOAT for a reason, what a generational performance 🔥

0 Goals
0 Assists
0 Shot on goal
0 Key passes
2 Committed fouls
1 Attempt to cheat
120 Minutes played

FB_IMG_1784559523501.jpg
 
Back
Top Bottom