Nakuona Scars unafuraha sana.So ile ilikuwa ni kilio cha furaha??
Haya, na hii unaelezeaje?
Naambiwa mpaka sasa kagoma kutoka uwanjani View attachment 3633669
Alitaka kumchomea kwa refa Cocurella.
Kuna narrative ya kishamba ambayo mashabiki wake wamekuwa wakim praise Messi dhidi ya Ronaldo eti Messi ni humble.
I still don't get it, I mean how could a so called humble man be a snitch?
View attachment 3633599
Sema huyu mwenye nywele wa spain alikuwa na hasira ht ile siku wamecheza na Australia km sikose😅😅hataki ujinga
Mbona Umeandika uzi mkuu?Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.
Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?
Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?
Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?
Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??
Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.
Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.
Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Ngoja tukutane nae kwenye el classico utamkataaCucurella mchezaji mpya wa Real madrid toka chelsea ngoja tuone akienda kule kama atakuwa na hasira kama za Ramos au Pepe zitatusaidia sana
Ngoja tukutane nae kwenye el classico utamkataa
Sawa subirin tukutaneHakuna mtu anayekataa timu yake ukionana na wa hivyo jua mamluki tu
Sawa subirin tukutane
KWANI Nico yupo Barca? Maana Barca watamhitaji vipi Nico na namba yake washamsajili muingereza Anthony GordonOkay. Hapa natamani tu watuongezee Nico Williams maana hana mapenzi na Barca hawezi saliti kambi madrid
Unafahamu kuwa Ronaldo ana mashuti mengi yaliyolenga lango kwenye dakika 90 dhidi ya Spain, kuliko timu nzima ya Argentina kwenye dakika 120 waliyocheza jana?Mbona Umeandika uzi mkuu?
Halafu akishakua nayo inakuaje?Unafahamu kuwa Ronaldo ana mashuti mengi yaliyolenga lango kwenye dakika 90 dhidi ya Spain, kuliko timu nzima ya Argentina kwenye dakika 120 waliyocheza jana?
Halafu akishakua nayo inakuaje?
Nani huyo?Mnashabikia mtu anapoteza fainali hadi kwa Mgiriki.