2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Messi's goals this World Cup:

🇩🇿 Algeria ⚽️⚽️⚽️
🇦🇹 Austria ⚽️⚽️
🇯🇴 Jordan ⚽️
🇨🇻 Cape Verde ⚽️
🇪🇬 Egypt ⚽️
🇨🇭 Switzerland ❌️
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 England ❌️
🇪🇸 Spain ❌️
 
Cristiano Ronaldo alimuona Khusanov akiziba mdomo wakati anaongea na Ronaldo.

Ronaldo akiwa na tabasamu akamwambia "usizibe mdomo tena vinginevyo utatolewa kwa kadi nyekundu"
FB_IMG_1784559620447.jpg


Messi alionekana kuandamana akidai Cocurella apewe kadi nyekundu kwasababu alikuwa akiongea huku ameziba mdomo

Lakini bado Ronaldo is constantly portrayed as the villain, while Messi is often presented as the humble, kind, and respectful one.
FB_IMG_1784559623078.jpg
 
Maigizo yake yaliisha jana. Alipanic balaa. Ile Barca aliyokuwa anaibeba jana ikamdondosha kama sio legend wao🤣🤣🤣😂😂😂
Alitaka kumchomea kwa refa Cocurella.

Kuna narrative ya kishamba ambayo mashabiki wake wamekuwa wakim praise Messi dhidi ya Ronaldo eti Messi ni humble.

I still don't get it, I mean how could a so called humble man be a snitch?
View attachment 3633599
 
Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.

Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?

Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?

Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?

Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??

Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.

Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.

Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Mbona Umeandika uzi mkuu?
 
Screenshot_20260720_191456_Instagram.jpg


Barcelona ikitoa wachezaji wengi Spain national team, lazima wafanye vizuri, Barcelona ndio nyumba ya vipaji na ndio kiini cha nafanikio ya timu ya taifa
 
Okay. Hapa natamani tu watuongezee Nico Williams maana hana mapenzi na Barca hawezi saliti kambi madrid
KWANI Nico yupo Barca? Maana Barca watamhitaji vipi Nico na namba yake washamsajili muingereza Anthony Gordon
 
When can't win it even with the help of FIFA, referee, just look at the WC and move on
FB_IMG_1784565062801.jpg
 
Back
Top Bottom