2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wewe mi jana nilitaka ufaransa ashinde coz England siwakubali

Na hapo hapo nilikua sitaki Mbappe afunge ili asimpite Messi

Yaani jana nilikua kimkakati
Jana watu tulikuwa na mixed feeling kishenzi.
Mimi nilikuwa nataka england ashinde, lkn mess apate magoli mawili matatu ili amzuie mess kwenye buti ..ilikuwa tafrani tupu😂😂😂
 
Back
Top Bottom