Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 6,363
- 12,604
Kabisa mtu anapandwa juu refa anameza filimbiKuna faulo Argentina wamecheza mbili za kupewa Yellow card ila refa kafumba macho.
Kabisa mtu anapandwa juu refa anameza filimbiKuna faulo Argentina wamecheza mbili za kupewa Yellow card ila refa kafumba macho.
Wewe jana si ulikuwa unamshangilia Mbappe na ukafikia kabisa hatua ya kumuita mwanaume mashineNipo Argentina crush 😍
Siwezi kua upande mmoja na hao waliojificha kwenye kichaka ha Spain
Kumbe wengeni mi mashabiki wa yule babu wa kireno
Wewe timu yako jana imecheza kama inashindania kikombe🤣🤣🤣Mna maneno sana nyie timu andunje
Sijui mimiKakubali yaishe?
Ishu ni connectionMpaka hapa Spain wachukue ndoo.
Wameonyesha ubora mkubwa wa kutoshambuliwa.
PoaMzee niaje?
ThubutuHuyu Yamal angepewa kiatu cha ugoko maana ana kiherehere
Ronaldo je ?Lamine Yamal mpaka sasa ameonesha kiu ya kuhitaji hili kombe kuliko Bruno Fernandez
Balance hakuna yanadondoka tu!Wanacheza na watt wa elf 2 na 5 damu changa
Famchezo nn
Kwenye maisha ya mpira hakuna adui wa milele wala rafiki wa kudumuTangu mwanzo unamponda weeeee, leo umekubali🙆♂️