😂😂Watoto wa Spain wanachezea nafasi wenyewe baadae atakuja kusingiziwa FIFA.
Wewe mi jana nilitaka ufaransa ashinde coz England siwakubaliWewe jana si ulikuwa unamshangilia Mbappe na ukafikia kabisa hatua ya kumuita mwanaume mashine
Pole ya nn?🤣🤣🤣 Poleni sana aisee
Ronaldo hadi sasa hivi simdai kwasababu kwa umri wa miaka 41 halafu upewe mzigo wa kuyabeba yakina Bruno sio rahisi.Ronaldo je ?
Olmo ni mtu haswa
Ndio hakika kikapu cha jana kilipendezaLakini si tulishinda sisi?🤣
Ni shabiki wa nani wewe?Pole ya nn?
Mi sio fun wake
Argentina ndiyo mpira wao miaka mingi.Hawa Waargentina unaweza kuhisi hawachezi ulaya kabisa ni mpira wa vita vita tu
Ilikua counter attack ile,bora yellow card.Lisandro Martinez yellow card
Vinyonga hao , wanabadilika kufuatana na mazingira.Nipo Argentina crush 😍
Siwezi kua upande mmoja na hao waliojificha kwenye kichaka ha Spain
Kumbe wengeni mi mashabiki wa yule babu wa kireno
Halafu wakiitwa mbeleko fc wanakua wakali😄😄😄Kabisa mtu anapandwa juu refa anameza filimbi
Kwa hiyo malengo yako yote mawili yalifeli maana England alishinda na Mbappe alifungaWewe mi jana nilitaka ufaransa ashinde coz England siwakubali
Na hapo hapo nilikua sitaki Mbappe afunge ili asimpite Messi
Yaani jana nilikua kimkakati