ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,798
- 44,076
Wewe mi jana nilitaka ufaransa ashinde coz England siwakubaliWewe jana si ulikuwa unamshangilia Mbappe na ukafikia kabisa hatua ya kumuita mwanaume mashine
Na hapo hapo nilikua sitaki Mbappe afunge ili asimpite Messi
Yaani jana nilikua kimkakati