2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

LEO TIMU YA DUNIA TUNAANZA MASHINDANO SASA
1000799896.jpg

Hizo time zake Sasa...
Sio mchezo
 
Ebwana substitutions muhimu jamani....sio tuu unakuwa na starting 11 lazima bench uwe na watu...mechi ya canada sub zimebadi mchezo, mechi ya usa paruguay pamoja na kufu gwa sub kaja kafunga.
Mechi ya korea napo sub kaja kafunga....sii mchezo
 
Paraguay miaka ya nyuma walikua vzuri sana
Enzi za kina shilavet... Mweee jana hamna kitu yaani ingewezekana unabadili backline yoteee!!
Wee magoli mawili mnafungwa kwa mpira wa kupenyezwa unasafiri zaidi ya mita 40....mabeki hawapo serious kabisa.
Ila yule forward wao namba 19 mgongoni angalau anajituma . Yule dogo alikuwa newcastle, amoron jana sijui walimnywesha juice ya utopwinyoz 🤣🤣🤣🤣
Kalepwetaaaa kukaba hakabi mpira akiwa nao anajirusha tuu.
 
Back
Top Bottom