2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hii mechi ina matukio mawili tu ambayo ni muhimu.

Kwenye hayo mawili ushindi wa upande wowote sio sehemu yake.

Kane afunge au Mbappe afunge. Haya ndio matukio ambayo ni muhimu yanayotarajiwa na wengi kwenye hii mechi.
View attachment 3632311

Nashangaa baadhi ya wavimba macho humu View attachment 3632313

Eti yanafurahi kuona France anavyofungwa wanahisi hiyo inatuumiza sisi mashabiki wa France.

Wakati hata England kwetu ni mwanetu pia.
Nakuona unasubiri kwa hamu Mbappé afunge ila ndo haitokei
 
Tuchel ni maandazi kweli. Mechi ya nusu fainali aliweka yeboyebo moja inaitwa Madueke. Kikosi bora kama hiki aliweka benchi.
France nyeupe sana, hata England wangerejesha kina Beckham wasingepata hata sare mbele ya ile Argentina ya Messi yenye njaa na ubingwa wa Dunia mkuu.

#Hallelujah!!!
 
Utaumia sana, unataka amfikie Messi 😂
FB_IMG_1784364466248.jpg
 
Back
Top Bottom