Utaumia sana, unataka amfikie Messi 😂
Mbappe afunge tu hata mbili.Ufaransa waombe tu mechi iishie kipindi hiki cha kwanza. Wanaaibishwa bure
Nakuona unasubiri kwa hamu Mbappé afunge ila ndo haitokeiHii mechi ina matukio mawili tu ambayo ni muhimu.
Kwenye hayo mawili ushindi wa upande wowote sio sehemu yake.
Kane afunge au Mbappe afunge. Haya ndio matukio ambayo ni muhimu yanayotarajiwa na wengi kwenye hii mechi.
View attachment 3632311
Nashangaa baadhi ya wavimba macho humu View attachment 3632313
Eti yanafurahi kuona France anavyofungwa wanahisi hiyo inatuumiza sisi mashabiki wa France.
Wakati hata England kwetu ni mwanetu pia.
France nyeupe sana, hata England wangerejesha kina Beckham wasingepata hata sare mbele ya ile Argentina ya Messi yenye njaa na ubingwa wa Dunia mkuu.Tuchel ni maandazi kweli. Mechi ya nusu fainali aliweka yeboyebo moja inaitwa Madueke. Kikosi bora kama hiki aliweka benchi.
Utaumia sana, unataka amfikie Messi 😂
Nakuona una ambulia chochote kitu