hukuona feeder wao alizidiwa? na wakashindwa kabisa kubadilisha mbinu zaoMbappe yupo uwanjani wanatoka na sifuri
Pumbavu sana Mbappe
Alienda kufanya nini sasa?
hukuona feeder wao alizidiwa? na wakashindwa kabisa kubadilisha mbinu zaoMbappe yupo uwanjani wanatoka na sifuri
Pumbavu sana Mbappe
Alienda kufanya nini sasa?
😁😁😁kweliSpain na Argentina nyie mtacheza kumtafuta mshindi wa tatu
Our very own brother Jordan HendersonMashabiki wa ronaldo hawa, hawana pa kukimbilia tena, labda england kidogo ina wazungu weusi wenzie atajifichia huko 😄 eti Saint Anne
Yeye kwanini asifanye kila lonalowezekana asawazishehukuona feeder wao alizidiwa? na wakashindwa kabisa kubadilisha mbinu zao
Ila mwaka huu hii mbeleko yao haitawafikisha mbaliUnayo akili kubwa😁
Sasa timu imeshika nafasi ya kwanza ulitegemea nini? Okay angeshika nafasi ya pili angekutana nani? au mngebadilisha maneno. Unashindwa kumfunga best looser wa Africa DRC, halafu unambeza mwenzio aliyeshika nafasi ya kwanza?Wapinzani wa Argentina
Hatua Mpinzani FIFA Ranking Kundi J Algeria 28 Kundi J Austria 24 Kundi J Jordan 63 Hatua ya 32 Cape Verde 67 Hatua ya 16 Misri 29 Robo Fainali Uswisi 19
Niambie ni mwaka upi ambao kombe la dunia lilifanyika na ikatokea timu moja inafika robo fainali bila kukutana na timu yeyote kutoka kumi bora ya FIFA ranking?
Scars unapenda sana kulalamika, usijepata tu anxiety disorders...Mungu akunusuru shehe wanguSasa timu imeshika nafasi ya kwanza ukitegemea nini? Okay angeshika nafasi ya pili angekutana nani? au mngebadilisha maneno. Unashindwa kumfunga best looser wa Africa DRC, halafu unambeza mwenzio aliyeshika nafasi ya kwanza?
Hamna kilichopangwa, matokeo ya uwanjani ndio yamempa nafasi Argentina, maana angeshika nafasi ya pili basi angekutana na Spain,so anakula matunda yake ya nafasi ya kwanza.
Halafu mbona umeweka za Argentina, mbona za wengine huweki? Hao Uzbekistan na DRC kwenye Rank za FIFA wote wapo chini ya Algeria na Austria,sasa nani anayebebwa?
Mkuu kwa ile mechi ya jana spain walivyocheza ni sahihi kumlaumu mbape?? Mtu unapigwa hangaisha jinga mpira unatoka hapa unahmie kule. Toka timu hazijafika robo niliwaambia humu kua france akikutana na spain basi kaisha coz wao wanategemea speed/mbio. Sasa Spain wao strength yao ni kukaa na mpira miguuni na wanakunyanganya fasta tu. Sasa mbape angefanyaje wakati walizidiwa kila kona, mpira hawaupati.Mbappe yupo uwanjani wanatoka na sifuri
Pumbavu sana Mbappe
Alienda kufanya nini sasa?
Hakumkejeli mtu ila ali react, so ku react ni kufanyaje?Messi zidi ya Uholanzi Messi hakumkejeli mtu, bali alireact baada ya bench la Uholanzi kumzingua, so aulitegemea akae kimya?Okay kwani mchezaji akifanya kama alivyo fanya Messi zidi ya benchi la Uholanzi, refa huwaga anafanyaje?
Sio mind reader, ni facial expressionKwa hiyo wewe mind reader, criteria gani uliotumia kumuona Infantino alikasirika baada ya Cape Vedre kuchomoa goli mbili?
Niliweka hapa clip yakeWapi huyo Infantino aliyaweka hayo mapenzi yake wazi (Vizuri ukashare reputable sources).
So kupewa penalty tano ndio kupendelewa?OK unaweza kushare hizo video tano za hizo Penalty kuonyesha huo upendeleo.
Sijasema hela zilituumwa account ya FIFAUnazidi kuwa Muongo ,hebu soma hii
Halafu niambie wapi hizo hela zilitumwa account ya FIFA maana tuhuma za AFA zipo hapa "U.S. federal authorities are examining whether hundreds of millions of dollars in AFA-linked commercial revenue were laundered, specifically targeting international sponsorship and media-rights funds." Halafu hizi ni tuhuma ambazo zinazofanyiwa uchunguzi na hazihusiani na FIFA.
TATIZO LAKO UNAONGEA HISIA ZAKO ZILIZO JAA MAUMIVU ZINAZO KUPELEKEA KUWA MUONGO.
👆🏼👆🏼👆🏼TANGAZO KWA UMMA
Sisi kama mashabiki wa Messi na Argentina tunatangaza rasmi kuwa mashindano ya World Cup 2026 yameisha jana baada ya Mbuzi Pori kufurushwa mashindanoni.
Hata sasa tukitolewa hatutakuwa na deni maana lengo letu limetimia kwa Mbuzi Pori kutokuchukua taji la mashindano haya.
Tunawatakia mabaya yote mashabiki wa Mbuzi Pori watakaokuwa wanahamia kwa Mbappe kimya kimya.
Imetolewa na Mashabiki nguli wa Messi na Argentina.
View attachment 3624185
Mbappe yupo uwanjani wanatoka na sifuri
Pumbavu sana Mbappe
Alienda kufanya nini sasa?
Kwa hiyo unataka kusema katika miaka 17 ya kombe la dunia ni timu moja tu ya Argentina yenye bahati kuliko zote ya kula tunda la nafasi ya kwanza ambayo imewafanya mpaka wafike robo fainali bila kukutana na Giant wa top ten?Sasa timu imeshika nafasi ya kwanza ulitegemea nini? Okay angeshika nafasi ya pili angekutana nani? au mngebadilisha maneno. Unashindwa kumfunga best looser wa Africa DRC, halafu unambeza mwenzio aliyeshika nafasi ya kwanza?
Hamna kilichopangwa, matokeo ya uwanjani ndio yamempa nafasi Argentina, maana angeshika nafasi ya pili basi angekutana na Spain,so anakula matunda yake ya nafasi ya kwanza.
Halafu mbona umeweka za Argentina, mbona za wengine huweki? Hao Uzbekistan na DRC kwenye Rank za FIFA wote wapo chini ya Algeria na Austria,sasa nani anayebebwa? Unakutana na Vigonza unavi chekea, mwenzako anavikanda, halafu unaanza kulalamika wakati uzembe wako mwenyewe.