2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hakumkejeli mtu ila ali react, so ku react ni kufanyaje?

View attachment 3629494



Sio mind reader, ni facial expression


Niliweka hapa clip yake


Siwezi kushea video zote 5, mimi nitaku pointia kaangalie penati aliyosababisha Di Maria kwenye mechi ya fainali.


Sijasema hela zilituumwa account ya FIFA

Nimesema FIFA walituma hela kwenye account ambayo hai link ya shirikisho la AFA. Ukiweza kuni quote vizuri tunaweza kuwa na mjadala wenye kujenga zaidi kuliko kulishana maneno.

FIFA ndiyo inayotoa na kuidhinisha malipo ya zawadi. Kisheria, FIFA ina idara ya ukaguzi (Compliance) ambayo inalazimika kuzuia fedha kwenda kwenye makampuni binafsi yasiyoeleweka.

Kwa FIFA kukubali kusaini na kutuma mabilioni hayo kwenye kampuni isiyo na uhusiano na soka siku chache tu kabla ya fainali, inaweza kuwafanya waonekane kama washiriki kwenye utakatishaji huo wa fedha.

Na tayari wasiwasi huu wa FIFA kuhusika kwenye hii kashfa unazidi kuwa mkubwa tukirejea baadhi ya matukio ya nyuma hususani kesi ya kocha wa timu ya vijana wa wanawake aliyewahi kushtakiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia. FIFA walihusika kufanya covered up, hayo yote yamekuja kubainika baada ya nyaraka za siri kuvuja.
Sasa wewe na CBC na mkweli na wameweka habari kamili.Halafu mimi nimekuwekea reputable source, wewe unaleta story za vijiweni.

Sasa hapo kosa liko wapi? Okay kwenye kanuni za FIFA Messi alivyo react anatakiwa kuadhibiwa kwa kanuni gani.
 
Kwa hiyo unataka kusema katika miaka 17 ya kombe la dunia ni timu moja tu ya Argentina yenye bahati kuliko zote ya kula tunda la nafasi ya kwanza ambayo imewafanya mpaka wafike robo fainali bila kukutana na Giant wa top ten?

Na timu hiyo hiyo yenye bahati, iwe inaongoza kuwa favoured, iwe inamfanya hadi raisi wa FIFA apate mateso kuiangalia ikiwa inashambuliwa au kuongozwa?

Hata coincidence inatokea mara moja, lakini this sequence of events cannot be considered as coincidence.
Kwani hii nusu fainali ya ngapi Argentina anacheza ndani ya miaka hiyo kumi na saba? So hizo mechi zote alizo cheza hakuwahi kukutana na Giant? Hapa hamna Favored ni matokeo ya uwanjani ndio yaliamua akutane na nani.

Tatizo lako unaongozwa na chuki na ndio maana huna mwendelezo unacho kiongea full Contradiction, sasa hao Uzbekistan na DRC wanashika nafasi za ngapi FIFA au hiki kigezo cha Rank tuachane nacho.
 
Kwani hii nusu fainali ya ngapi Argentina anacheza ndani ya miaka hiyo kumi na saba? So hizo mechi zote alizo cheza hakuwahi kukutana na Giant? Hapa hamna Favored ni matokeo ya uwanjani ndio yaliamua akutane na nani.

Tatizo lako unaongozwa na chuki na ndio maana huna mwendelezo unacho kiongea full Contradiction, sasa hao Uzbekistan na DRC wanashika nafasi za ngapi FIFA au hiki kigezo cha Rank tuachane nacho.
Sasa hivi ni ngumu kutabiri nani anashinda kwenye hizi hatua zililizobaki, game huwa zinabadilika sana. Mechi ya leo inaisha ndani ya dakika 90
 
Sasa wewe na CBC na mkweli na wameweka habari kamili.Halafu mimi nimekuwekea reputable source, wewe unaleta story za vijiweni.

Sasa hapo kosa liko wapi? Okay kwenye kanuni za FIFA Messi alivyo react anatakiwa kuadhibiwa kwa kanuni gani.
Kwa hiyo unavyodhani wewe unahisi habari iliyowekwa na CBC inapingana na hoja yangu?
 
Kwani hii nusu fainali ya ngapi Argentina anacheza ndani ya miaka hiyo kumi na saba? So hizo mechi zote alizo cheza hakuwahi kukutana na Giant? Hapa hamna Favored ni matokeo ya uwanjani ndio yaliamua akutane na nani.

Tatizo lako unaongozwa na chuki na ndio maana huna mwendelezo unacho kiongea full Contradiction, sasa hao Uzbekistan na DRC wanashika nafasi za ngapi FIFA au hiki kigezo cha Rank tuachane nacho.
Swali hujajibu, umejitengenezea swali ambalo umeona ni rahisi halafu ndio umelijibu.

Mimi sijahoji kama Argentina hajawahi cheza na Giant kwenye hiyo miaka 17.

Hoja yangu imelenga utetezi wako wa kwamba Argentina anakutana na timu dhaifu kwasababu inanufaika kupitia matunda ya kuongoza kundi.

Ndio maana nikahoji, katika historia ya miaka 17 ya kombe la dunia ni timu gani nyingine ambayo iliwahi kunufaika kwa kuongoza kundi na kufaidi matunda ya kucheza hadi robo fainali bila kukutana na timu ambazo zipo top ten ya ranking?
 
Mjadala wa nani GOAT utatamatika leo.

FB_IMG_1784113650844.jpg
FB_IMG_1784113652900.jpg
 
Mnaacha kushabikia morocco mnakimbilia kwa wanariadha kisa eti timu imejaza weusi 😄 aibu gani hii!!

Germany out
Brazil out
Portugal out
Senegal out
France out
Cape Verde out
Netherlands out
Uswis out
Bado england yenu yenye rashford😄 ndio tumaini lenu sio! Au tunaenda na Argentina Saint Anne
Morocco ni mdudu gani?
Heri nisishabikie kabisa mpira kuliko kushabikia Morocco.

England tuna jambo letu
Rashid mpemba unamjua lakini akiamua?
Saka unamjua lakini?
Bellingham
Ukija kati unamkuta Hendo
Amekosekana tu Babe wangu Trent Alexander Arnold 🔥
 
Kwa hiyo unavyodhani wewe unahisi habari iliyowekwa na CBC inapingana na hoja yangu?
Kuna sehemu CBC wameripoti hiki ulicho kiandika ww?

"Siku 9 kabla ya fainali FIFA na viongozi wa AFA walisaini mkataba wa mabilioni ya fedha yakitumwa kwenye account ambayo sio ya shirikisho la AFA (hii ni big point)"

Unaweza nioneshea kwenye,kama ww ulikiona.
 
Swali hujajibu, umejitengenezea swali ambalo umeona ni rahisi halafu ndio umelijibu.

Mimi sijahoji kama Argentina hajawahi cheza na Giant kwenye hiyo miaka 17.

Hoja yangu imelenga utetezi wako wa kwamba Argentina anakutana na timu dhaifu kwasababu inanufaika kupitia matunda ya kuongoza kundi.

Ndio maana nikahoji, katika historia ya miaka 17 ya kombe la dunia ni timu gani nyingine ambayo iliwahi kunufaika kwa kuongoza kundi na kufaidi matunda ya kucheza hadi robo fainali bila kukutana na timu ambazo zipo top ten ya ranking?
Kunafaika vipi, hamna kunufaika ni matokeo ya uwanjani,ndiyo yanayo determined utakutana nani. Argentina kama angekuwa na matokeo mabovu angekuta na Spain round ya pili? au may be angeshika nafasi ya pili kwako ndio ungeamini hapendelewi.

Hoja zako hazieleweki unazungumzia hisia unasahau kinacho tokea uwanjani.
 
Swali hujajibu, umejitengenezea swali ambalo umeona ni rahisi halafu ndio umelijibu.

Mimi sijahoji kama Argentina hajawahi cheza na Giant kwenye hiyo miaka 17.

Hoja yangu imelenga utetezi wako wa kwamba Argentina anakutana na timu dhaifu kwasababu inanufaika kupitia matunda ya kuongoza kundi.

Ndio maana nikahoji, katika historia ya miaka 17 ya kombe la dunia ni timu gani nyingine ambayo iliwahi kunufaika kwa kuongoza kundi na kufaidi matunda ya kucheza hadi robo fainali bila kukutana na timu ambazo zipo top ten ya ranking?
Msimu huu England hajakutana na top ten
 
Kuna sehemu CBC wameripoti hiki ulicho kiandika ww?

"Siku 9 kabla ya fainali FIFA na viongozi wa AFA walisaini mkataba wa mabilioni ya fedha yakitumwa kwenye account ambayo sio ya shirikisho la AFA (hii ni big point)"

Unaweza nioneshea kwenye,kama ww ulikiona.
CBC hawajaripoti hiyo quote

Wakati CBC inaandika hiyo habari hakukuwa na nyaraka za siri zilizovuja.

Nyaraka za siri zilikuja kuwa leaked na Romain Molina huyu ndio ameongea mengi ikiwemo sakata la unyanyasaji wa kijinsia ambalo mimi nimeliainisha hapo juu ambalo pia huwezi kulikuta kwenye CBC wala Lanacion ambayo ndio primary source wa hii habari.

Kwa hiyo hoja yangu bado inakuwa ni ya kweli ila haipatikani katika chanzo chako hicho ambacho unakirejea.
 
Kunafaika vipi, hamna kunufaika ni matokeo ya uwanjani,ndiyo yanayo determined utakutana nani. Argentina kama angekuwa na matokeo mabovu angekuta na Spain round ya pili? au may be angeshika nafasi ya pili kwako ndio ungeamini hapendelewi.

Hoja zako hazieleweki unazungumzia hisia unasahau kinacho tokea uwanjani.
Kwa hiyo matokeo ya uwanjani ndio yameanza kwa mara ya kwanza kuonekana msimu huu?

Kivipi katika miaka 17 kusiwe na scenario kama hii ya timu moja kufika nusu fainali ikiwa haijacheza na timu kubwa kwenye top ten?
 
Back
Top Bottom