Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 6,971
- 11,059
Ronaldo katukosea sanaWakitoka kwa Mbappe watahamia kwa Bellingham au Kane kwa masaa 24 halafu fainali watajilazimisha kuishabikia Spain maana hawaipendi
Ronaldo katukosea sanaWakitoka kwa Mbappe watahamia kwa Bellingham au Kane kwa masaa 24 halafu fainali watajilazimisha kuishabikia Spain maana hawaipendi
Hilo lina onekana, lakini bado kuna dk 45 nyingineHawatoboi hapo...! Wamezidiwa kwenye defending muda utasema
Sio yeye ndio mpiraRonaldo katukosea sana
Ronaldo hana baya, aliingia kubahatisha labda angepata hata fainali ili afikie ndoto zake ambazo ni ndoto za kila mcheza soka kutwaa taji la DuniaRonaldo katukosea sana
Kwenye touches 23 za Dembele 11 amepoteza Olise kashika mara 31 kapoteza mara 11. Hii ni kutokana na pasi fupi fupi za France, pasi wanazotoa kwa kulazimika sio kwa malengo.France wachezaji wengi wanaleta ubishoo. Kwa upande wa Spain bishoo ni Lamine pekee. Wafaransa badala wapige pasi na krosi za uhakika wanapiga kwa mbwembwe.
Olise arudi kati dembele akae pembeniKwenye touches 23 za Dembele 11 amepoteza Olise kashika mara 31 kapoteza mara 11. Hii ni kutokana na pasi fupi fupi za France, pasi wanazotoa kwa kulazimika sio kwa malengo.
Mtu analeta mbwembwe anakabwa anamtafuta mtu aliye karibu yake amtupie lawama. Badala kuwe na move unashika mpira unatazama aliye wazi unatoa mpira mapema kwa kufuata build up.
Nitafurahi hahaaHawatoboi hapo...! Wamezidiwa kwenye defending muda utasema
Kwenye hii mechi naipenda spain ila naomba ufaransa ishindeSio yeye ndio mpira
Ni mwendo wa kuwatia stress, safari hii watatukana mpaka chama cha karate NamibiaWatahama team zote,Messi akisha chukua kombe watahamia kuitukana FIFA.
Wangelikuwa Argentina ungesikia mibweko yao humu.Olise alistahili red card.
Ufaransa hana hata short on target kipindi cha kwanza.
Ronaldo naiskia atakuwepo 2030 anakomaa Hadi nae awe na wedicup kama messiMashabiki wa Ronaldo wamekuja kumtilia gundu Spain... Hawa wapumbavu Spain na Argentina waendelee kuzisikia kwenye Radio hatutaki shobo na mtu.
Wanaharibiana wakicheza walivyocheza first half.Olise arudi kati dembele akae pembeni