2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

France hawajilindi vizuri wana mapuuza. Spain wako more organized wanavyoshambulia kwa haraka.
France wakishika mpira wanazubaa wafanye nini. Kina Upamecano pale nyuma kazi kumpa kipa mpira, hatokuwa na umakini mara zote.
 
Kila tukianza kushambulia

1784058122303.jpeg
 
Back
Top Bottom