T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,784
- 46,626
France hawajilindi vizuri wana mapuuza. Spain wako more organized wanavyoshambulia kwa haraka.
France wakishika mpira wanazubaa wafanye nini. Kina Upamecano pale nyuma kazi kumpa kipa mpira, hatokuwa na umakini mara zote.
France wakishika mpira wanazubaa wafanye nini. Kina Upamecano pale nyuma kazi kumpa kipa mpira, hatokuwa na umakini mara zote.