2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mashabiki wa Ronaldo wapo kama mashabiki wa Simba wana akili finyu sana. Na huyo scar ni shabiki wa simba pia, simba wanaamini kila mechi yanga anayoshinda kanunua mechi. Hadi ile mechi na Beruizidad wanaamini yanga walininua. Aisee. Their stupidity is Uncontested
Kuna mtu anaitwa Kipenzi Changu ni mfano sahihi ya jinsi shabiki wa simba ni stupid to the bone
View attachment 3627249
View attachment 3627250
Uwe na heshima kwa Simba 🐸 🐸 🐸
 
Wameamua kucheza nje ya uwanja hao maana dimbani La Pulga anapiga utosini tu....
Issue alio report Molina imewavua Nguo Argentina na FIFA wekeni ushabiki pembeni

- Siku 9 kabla ya fainali world cup 2022 shirkisho la Argentina liliwapa haki za kibiashara kampuni ya Kitalii ya Miami, na kuwapa mapato ya timu ya Taifa.

- kampuni hio ilikua na umri wa miezi mitatu Tu, aka ilitengenezwa Muda mfupi kabla ya world cup.

- hela kutoka FIFA zaidi ya Bilioni 100, hela za Conmebol zaidi ya Bilioni 24 na hela nyengine mbalimbali toka kwa wadhamini zilipita moja moja kwenda hio kampuni ya Utalii, Chama cha soka cha Argentina hakikupokea.

- hio kampuni ikasambaza hizo hela kwenye haven mbalimbali Duniani kama Monaco, Virginia island etc

Hebu nieleze kama mtoto mdogo vile, why hela za shirkisho la Argentina zote zisiwekwe shirkisho Lao zitakatishwe Dunia nzima na FIFA wakishiriki?

Bado Molina anaendelea kutujuza tupo tunasubiria.

Wanaotaka ushahidi wa video Molina akielezea huu hapa, masaa 4 yaliyopita hii habari kaitoa.


View: https://m.youtube.com/watch?v=H6eUiFtYN84
 
Issue alio report Molina imewavua Nguo Argentina na FIFA wekeni ushabiki pembeni

- Siku 9 kabla ya fainali world cup 2022 shirkisho la Argentina liliwapa haki za kibiashara kampuni ya Kitalii ya Miami, na kuwapa mapato ya timu ya Taifa.

- kampuni hio ilikua na umri wa miezi mitatu Tu, aka ilitengenezwa Muda mfupi kabla ya world cup.

- hela kutoka FIFA zaidi ya Bilioni 100, hela za Conmebol zaidi ya Bilioni 24 na hela nyengine mbalimbali toka kwa wadhamini zilipita moja moja kwenda hio kampuni ya Utalii, Chama cha soka cha Argentina hakikupokea.

- hio kampuni ikasambaza hizo hela kwenye haven mbalimbali Duniani kama Monaco, Virginia island etc

Hebu nieleze kama mtoto mdogo vile, why hela za shirkisho la Argentina zote zisiwekwe shirkisho Lao zitakatishwe Dunia nzima na FIFA wakishiriki?

Bado Molina anaendelea kutujuza tupo tunasubiria.

Wanaotaka ushahidi wa video Molina akielezea huu hapa, masaa 4 yaliyopita hii habari kaitoa.


View: https://m.youtube.com/watch?v=H6eUiFtYN84

Maelezo yako yanasema hiyo kampuni ilipokea hela kutoka Fifa bila shirikisho kuhusika, hizo pesa zilipelekwa kwa ajili ya nini ?.…
 
Issue alio report Molina imewavua Nguo Argentina na FIFA wekeni ushabiki pembeni

- Siku 9 kabla ya fainali world cup 2022 shirkisho la Argentina liliwapa haki za kibiashara kampuni ya Kitalii ya Miami, na kuwapa mapato ya timu ya Taifa.

- kampuni hio ilikua na umri wa miezi mitatu Tu, aka ilitengenezwa Muda mfupi kabla ya world cup.

- hela kutoka FIFA zaidi ya Bilioni 100, hela za Conmebol zaidi ya Bilioni 24 na hela nyengine mbalimbali toka kwa wadhamini zilipita moja moja kwenda hio kampuni ya Utalii, Chama cha soka cha Argentina hakikupokea.

- hio kampuni ikasambaza hizo hela kwenye haven mbalimbali Duniani kama Monaco, Virginia island etc

Hebu nieleze kama mtoto mdogo vile, why hela za shirkisho la Argentina zote zisiwekwe shirkisho Lao zitakatishwe Dunia nzima na FIFA wakishiriki?

Bado Molina anaendelea kutujuza tupo tunasubiria.

Wanaotaka ushahidi wa video Molina akielezea huu hapa, masaa 4 yaliyopita hii habari kaitoa.


View: https://m.youtube.com/watch?v=H6eUiFtYN84

Wewe uwe unatokea kushoto halafu hii winga ya kulia niachie mimi.
 
Mashabiki wa Ronaldo wapo kama mashabiki wa Simba wana akili finyu sana. Na huyo scar ni shabiki wa simba pia, simba wanaamini kila mechi yanga anayoshinda kanunua mechi. Hadi ile mechi na Beruizidad wanaamini yanga walininua. Aisee. Their stupidity is Uncontested
Kuna mtu anaitwa Kipenzi Changu ni mfano sahihi ya jinsi shabiki wa simba ni stupid to the bone
View attachment 3627249
View attachment 3627250
middle-finger-***-you-symbol-with-leaves_23-2148667366.jpg
 
Hao moto lazima wapelekewe kama egypt ya Afcon imempelekea moto kiasi kile ww unategemea nn

This time Spain out , France wanawachezaji wenye maturity ya kuamua game

battle itakuwa ngumu but in the end France na Norway ndio watacheza final

Kwa sasa mpira hauish kwenye past , ina mcost sana Brazil , hii pia itamcost Spain
Kilicho wacost Belgium ni kukosa striker sababishi. Kwenye dakika kama ya 89 hivi kuna magoli 3 ya wazi walikuwa wamekosa sababu tu mtu makini hakuna pale mbele otherwise , Spain angekutana na Moroco tu, angepata ushindani mkubwa sna

Kwa sasa France wanalitaka Kombe , hana namna nyingine it is now or never

Les bleus. Ramène le coup à la maison no joke
 
Issue alio report Molina imewavua Nguo Argentina na FIFA wekeni ushabiki pembeni

- Siku 9 kabla ya fainali world cup 2022 shirkisho la Argentina liliwapa haki za kibiashara kampuni ya Kitalii ya Miami, na kuwapa mapato ya timu ya Taifa.

- kampuni hio ilikua na umri wa miezi mitatu Tu, aka ilitengenezwa Muda mfupi kabla ya world cup.

- hela kutoka FIFA zaidi ya Bilioni 100, hela za Conmebol zaidi ya Bilioni 24 na hela nyengine mbalimbali toka kwa wadhamini zilipita moja moja kwenda hio kampuni ya Utalii, Chama cha soka cha Argentina hakikupokea.

- hio kampuni ikasambaza hizo hela kwenye haven mbalimbali Duniani kama Monaco, Virginia island etc

Hebu nieleze kama mtoto mdogo vile, why hela za shirkisho la Argentina zote zisiwekwe shirkisho Lao zitakatishwe Dunia nzima na FIFA wakishiriki?

Bado Molina anaendelea kutujuza tupo tunasubiria.

Wanaotaka ushahidi wa video Molina akielezea huu hapa, masaa 4 yaliyopita hii habari kaitoa.


View: https://m.youtube.com/watch?v=H6eUiFtYN84

Who is Molina? Hiyo habari sio mpya ni ya muda mrefu. Huyo raisi wa chama cha soka hata huko kwao Argentina hawamtaki Tena sababu ya ufisadi.
Wanaochunguza ni FBI
Habari ni ya muda mrefu kama umeijua Leo nakupa pole
Screenshot_20260711-230218.png

Screenshot_20260711-230206.png
 
Kushinda world cup na hela nyengine za Ruzuku FIFA kwenda Association.
Punguza uongo kama jambo hulijui. Wewe itakua sio mtu wa soka
Hilo suala linahusiama vipi na kushinda world cup?

Ipo hivi, chama cha soka cha Argentina kabla ya fainali kilipeleka haki za kibiashara za kimataifa kwa kampuni mpya. Hivyo baada ya ushindi Fifa walilipa sehemu ya pesa za ushindi kwenye kampuni hiyo ambayo chama cha soka kiliwapa haki

Hiyo kampuni inaomekana ni mali ya viongozi wa chama cha soka cha Argentina. Hata huko Argentina media za Argentina zilishatoa hiyo habari muda tu, wewe unajua Leo?
Screenshot_20260711-231337.png
 
Who is Molina? Hiyo habari sio mpya ni ya muda mrefu. Huyo raisi wa chama cha soka hata huko kwao Argentina hawamtaki Tena sababu ya ufisadi.
Wanaochunguza ni FBI
Habari ni ya muda mrefu kama umeijua Leo nakupa pole
View attachment 3627338
View attachment 3627339
Hoja sio upya wa habari.

Hoja ni tuhuma za FIFA kuhusika kwenye huu uchafu.

Ulivyoielezea hapo umeiweka ionekane kama huo msala wa kesi upo upande mmoja wa Claudio Tapia.

FIFA wanahusika kwenye huu msala kwa rushwa ya kujenga urafiki (unanilinda, nakulinda)

Kwenye hiki kipengele ndio sehemu inayofanya navutiwa na hii kesi kwasababu matukio yote ambayo nimekuwa nikiyasema kuhusu upendeleo wa wazi ambao Argentina imekuwa, ikifanyiwa yanaangukia hapa.
 
Hoja sio upya wa habari.

Hoja ni tuhuma za FIFA kuhusika kwenye huu uchafu.

Ulivyoielezea hapo umeiweka ionekane kama huo msala wa kesi upo upande mmoja wa Claudio Tapia.

FIFA wanahusika kwenye huu msala kwa rushwa ya kujenga urafiki (unanilinda, nakulinda)

Kwenye hiki kipengele ndio sehemu inayofanya navutiwa na hii kesi kwasababu matukio yote ambayo nimekuwa nikiyasema kuhusu upendeleo wa wazi ambao Argentina imekuwa, ikifanyiwa yanaangukia hapa.
Huyo jamaa kaandika issue aliyoreport moiina imewavua nguo, bila kujua kuwa hiyo issue sio mpya hata huko Argentina media za huko zimekomalia hiyo issue. Hivyo Hadi hapo huyu baba mwajuma alitaka kutupiga uongo

Kabla hatujaenda mbali ili kupimana uelewa ni muhimu, so lazima nikuulize maswali kidogo: kwa nini FBI na US justice department wanaochunguza chama cha soka cha Argentina AFA na sio FIFA? Tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom