2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Baba yake Messi ameonekana
1783804512533.png
 
FBI ipo kwenye hatua ya awali ya uchunguzi (preliminary investigation) na kulingana na taarifa zilizochapishwa na lile gazeti Nancion (sina hakika na spelling zake)

Gazeti hilo lilidai kuwa FBI ipo kwenye hatua ya kukusanya ushahidi kuhusu viongozi wa AFA na uhusiano wa kampuni ya TourprodEnter LLC iliyopo Marekani.

Kinachofanya FIFA waingie kwenye huu msala ni kutokana na tuhuma za utakatishaji fedha ambao unamkabili Raisi wa AFA na wenzake.

Hizo pesa zinawa link FIFA kwasababu wao ndio waliokuwa wahusika kwenye kutuma hizo pesa ambapo walitakiwa wazitume kwenye account rasmi ya AFA kule Argentina.

Badala yake zikatumwa kwenye account ya TourprodEnter LLC.

Kwanini FIFA inahusishwa? FIFA ndio mwenye mamlaka ya utoaji na uidhinishaji wa malipo au zawadi kwa washindi.

Na kisheria FIFA ina idaranya ukaguzi ambayo inalazimika kuzuia fedha kwenda kwenye account binafsi au taasisi isiyoeleweka.

Sasa pamoja na hayo bado FIFA walisaini na kuidhinisha hayo malipo.

FIFA haiishii tu hapo kwenye kulipa haya mashirikisho pesa za ushindi na zawadi, FIFA pia wana mandatenya kukagua hesabu na matumizi ya hayo mashirikisho ambayo yapo chini yake.

Na kingine kikubwa zaidi ambacho kinampa title Romain Molina ni uchunguzi wa kashfa za unyanyasaji wa kijinsia.

Mmoja wa makocha wa zamani wa bijana aliwahi kushtakiwa kwa unyanyasaji na wachezaji kadhaa lakini FIFA walifunga jalada la kesi hii bila kuchukuliwa hatua huyo muhusika kwa madai ya kwamba hakuna ushahidi wa kutosha.

Unaikumbuka ile kashfa ya FIFA Gate ya 2015?

Pattern zake jinsi ilivyoanza inafanana kabisa na hi sakata.

Ngoja mpaka mtu aliwe kichwa ndio mtaamini.
Unasema fifa inahusishwa alafu hapo hapo FBI wao hawajaihusisha. Inahusishwa na nani? Uchunguzi wa awali wa FBI si lazima ungeihusisha fifa sababu walifanya hayo malipo?

Unasema kinachompa title huyo Molina ni uchunguzi wa unyanyasaji wa kijinsia? Nimekuuliza hapo huyo Molina ni nani?
Sababu ya kuuliwa hivi ni kwa kuwa haya yote hakuna jipya, hii issue ya sex abuse ni ya tokea 2022, iweje wewe Leo useme inampa title huyo Molina?

Hii issue ya sex abuse Mbona imeandikwa sana wakati huo, media zimepiga sana kelele kuhusu hii issue, nyie mnaijua Leo?
Screenshot_20260712-001456.png
 
We subiria Molina aendelee Kutoa habari, huwezi mfananisha Molina na hivyo vijarida, unaweza ukauweka ushahidi hapa hizo hela zimeingia kwenye Mali za viongozi wa AFA
Nimetoka kukuuliza who is Molina? Sababu hii issue imeandikwa sana na media za kila aina, huko Argentina kuanzia media mpaka wachezaji wastaafu kama Tevez waliikomalia sana. So kipi special kwa sasa kwa Molina? Uko mwaka wa nyuma?
 
Who is Molina? Hiyo habari sio mpya ni ya muda mrefu. Huyo raisi wa chama cha soka hata huko kwao Argentina hawamtaki Tena sababu ya ufisadi.
Wanaochunguza ni FBI
Habari ni ya muda mrefu kama umeijua Leo nakupa pole
View attachment 3627338
View attachment 3627339
Molina ni reliable kuliko chombo chochote kile cha habari cha michezo, ni Julian Asange wa Mpira, scandal karibia zote kubwa yeye ndio whistleblower, ana reports kwa mamia zikiwa na accuracy kubwa mno.

Hii mega thread ya report zake zote kama humjui


View: https://www.reddit.com/r/soccer/comments/qx8akt/megathread_romain_molinas_the_guardian_ny_times/
 
Back
Top Bottom