2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Baba yake Messi ana uhusiano gani na shirikisho la soka la Argentina?..
FB_IMG_1783360938516.jpg
 
Unaweza kuniambia kwanini Gianni Infantino aliteseka pamoja na mashabiki wa Argentina wakati wa mechi dhidi ya Cape Verde?
Hakuteseka bhana alafu Infantino kahudhuria mechi nyingi tu za kombe la Dunia na huko kaonyesha 'reaction' za hapa na pale ila nyie 'Messi haters' mmeamua tu kukomaa na hizo nadharia njama.
 
Vp wajukuu wa Mfalme Charles unawapa nafasi leo?..
Honestly sijawahi kufurahishwa na performance ya Norway jinsi inavyocheza.

Ila Haaland kule mbele amekuwa m-deadly sana kiasi kwamba anaweza kufunika madhaifu ya timu yake ikiwa atapatiwa cross mbili 2

warmup_20260711_193458_008.jpg
 
Exposing Messi and Argentina is my hobby❌

Exposing fraud, robbery, corruption, money laundering ✅


 
Yaani huwa nashangaa haters kwa kusema Messi anabebwa. Yaani wanafikiri uwezo alionao ni mdogo.

Wanaabudu uwezo mkubwa wa CR7.Alafu angalia Ronaldo kamzidi nini Messi zaidi ya umri,mechi nyingi,na magoli 57 kwenye tofauti ya mechi 130+
Na UEFA 1

Yaani ubebwe na FIFA kwenye career yako na FIFA wakupe magoli 920+, Huna uwezo hata kidogo, Ballon D'or 8 bila kuonyesha chochote uwanjani. Uongoze tuzo za ufungaji bora Bara la ulaya na haujui lolote.

World cup under 20 na World cup 2022 zote upewe wewe tu bila kuwa na uwezo wowote.

Wivu ukizidi unakuwa uchawi. Kam hizo data zote ni za kuoewa na FIFA naamini Messi ana uwezo mdogo sana na CR7 ni bora zaidi.
Mashabiki wa Ronaldo wapo kama mashabiki wa Simba wana akili finyu sana. Na huyo scar ni shabiki wa simba pia, simba wanaamini kila mechi yanga anayoshinda kanunua mechi. Hadi ile mechi na Beruizidad wanaamini yanga walininua. Aisee. Their stupidity is Uncontested
Kuna mtu anaitwa Kipenzi Changu ni mfano sahihi ya jinsi shabiki wa simba ni stupid to the bone
1000059343.jpg

1000059804.jpg
 
Leo tena wajukuu wa kikongwe penaldo jiandaeni visukari na presha kupanda, mtapasuka na chuki zenu.
GOAT 🐐 MESSI leo anabebwa na atabebeka vizuri kabisa, yaani hii inaitwa ukinuna unapigwa ukijichekesha unapigwa.
Penaldo saahizi yupo ananyonyesha watoto huko putugo
 
Nimeshangaa kuona huyu dogo amechukua tuzo ya Man of the match
1783795301379.png


Nilitaka kurudia maneno yangu yale yale lakini nilipokumbuka hili tukio la huyu producer ambaye ni raia wa Argentina Bizzarap, nabaki najiuzlia kwanini nyinyi hamtaki kukubaliana na huu ukweli?
1783795569194.png


Huyu jamaa alipewa jukumu la kumkabidhi tuzo mchezaji bora wa mechi, kwenye mechi kati ya Argentina na Egypt.

Shida sio kumkabidhi tuzo, shida ilikuwa ni maneno yake aliyoyaongea baada ya kumkabidhi tuzo alisema "Waliniambia tangu jana kuwa ilibidi nimpe tuzo hii Messi."

Then baadaye alivyostuka kuona amezingua akaja kusema "Au kwa yeyote atakayekuwa mchezaji bora wa mechi."
 
Back
Top Bottom