MrKanteChelsea
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 692
- 936
Watu huko mbele hawana njaa sio kama huku na propoganda za kombe halina mvuto wakati muda huo anakodoa macho kwa tvUwanja ni full house
Watu huko mbele hawana njaa sio kama huku na propoganda za kombe halina mvuto wakati muda huo anakodoa macho kwa tvUwanja ni full house
Timu zote ulaya zinamuheshimu Spain. Wababe wote wakikutana nae huwa wanapigwa vizuri tuFrance huwa akikutana na Spain haiwi mechi rahisi hata kidogo, kazi ipo
Hii storia ya Spain ndio itawa costMwanze mara ngapi wakati tulishawabonda mara nyingi tu
2025, tuliwabonda 5, yamal aliscore 2
2024, tuliwabonda 2, lamin na olmo
Sisi wanaArgentina tulishawabonda tukaondokanalo😄
This time Spain out , France wanawachezaji wenye maturity ya kuamua gameFrance huwa akikutana na Spain haiwi mechi rahisi hata kidogo, kazi ipo
Endelea kuishi kwenye History kama brazilTimu zote ulaya zinamuheshimu Spain. Wababe wote wakikutana nae huwa wanapigwa vizuri tu
History ipi mkuu, kwani anayeshikilia kombe la EURO ni nani?Endelea kuishi kwenye History kama brazil
Watu wana investi kila siku bado upo kwenye past
Ahsante kwa ukumbusho mtani. 🙏Mtani Shadeeya usisahau alfajiri ya kuamkia kesho mabingwa watetezi tutakuwa uwanjani dhidi ya Uswizi.
Hata ukilala wewe lala tu, asubuhi utaamka na habari njema za ushindi.View attachment 3626946
Kabisa kabisa...Tutapata Burudani nzuri sana
Wameamua kucheza nje ya uwanja hao maana dimbani La Pulga anapiga utosini tu....Romain Molina ametangaza kufanya uchunguzi mkubwa wa kile alichokiita "umafia wa mpira wa Argentina"
Sehemu ambayo nioo interested nayo ni hapo alipoitaja FIFA.
Huyu jamaa aliwahi ku expose mambo mengi ikiwemo sexual abuse kwenye shirikisho la mpira wa Hait na Gabon pamoja na corruption ambayo baadaye ili switch kwenda kwenye mahakama za judicial.
Moja ya reputation ya huyu mwamba aliyojijengea ni kufichua ukweli ambao watu wenye nguvu wanataka kuuzika.
Na wakati huo ukumbuke FBI bado nao wanamfanyia investigation Claudia Tapia raisi wa shirikisho la soka la Argentina kwa kashfa za utakatishaji pesa wa zaidi ya $57M.
Sijui Romain ana ushahidi gani ila najua hajakurupuka ukicheki kawa mention FIFA directly, hiyo ni defamation tayari kama hana ushahidi.
Let's see
View attachment 3627060
Watu wanaona matukio, kwenye hii kesi sidhani kama Baba yake Messi atatoka.Wameamua kucheza nje ya uwanja hao maana dimbani La Pulga anapiga utosini tu....
Yaani huwa nashangaa haters kwa kusema Messi anabebwa. Yaani wanafikiri uwezo alionao ni mdogo.Kwahiyo kwa maana yako ni kwamba timu au mchezaji mwingine akipendelewa wanafanya hivyo ili ku balance kubebwa kwa Messi na Argentina???
Wakiibeba Man U ni ili wa balance?
Wakiibeba Madrid ni ili wa balance?
Kama ni hivyo maana yake unakubali Ronaldo Ballon D'or ya 2013 hakustahili na alibebwa??
Sasa hizo story zako kuwa hajawahi kubebwa zimetoka wapi????
Usinishirikishe kwamba mi najua kitu ambacho sikijui...Messi uwezo wake unajulikana, mpira mi nawe tunauona wala sijawahi kufikiria kuwa Ronaldo ana uwezo mkubwa na habebwi na Messi ana uwezo mdogo ila anafanikiwa sababu anabebwa
Unaishi dunia ipi??
Ballon D'or zote alibebwa
Makombe yote amebebwa
Magoli yote kabebwa
Vitu vyote anavyofanya uwanjani ni sababu ya kupendelewa na FIFA
Wachezaji, makocha, waandishi wa habari wanaosema ni bora wameambiwa waseme hivyo na FIFA???
Rooney katumwa na FIFA
Zlatan pia
Henry??
N.k
Bro grow up
Usitumie nguvu nyingi kueneza hatred yako kwa Messi na Argentina kwa story za kuokoteza