Sikulaumu usiku una mengiMwafrika ni mtu yeyote mwenye ngozi nyeusi
Dunia Leo inaenda kushangazwa mkuuDunia inaweza kushangazwa leo
Na mimi nimejiandaa kushangazwaDunia inaweza kushangazwa leo
Kwenye tukio gani?Mimi sina ushabiki, sio mfuasi wa ronaldo wala mesi. Na timu yangu ya senegali ilishatoka. Ila kiuhalisia kinacholaumiwa ni VAR, inshu sio kuwa na uhalali au kutokuwa na uhalali wa tukio husika inshu ni kwanini refa hakujisumbua hata kwenda kwenye VAR ??. na tukio kama hilohilo na mechi hiyohiyo ila refa kakimbilia VAR kwa spidi ya mwanga tena bila kuzongwazongwa na wachezaji wa argentina
Misri siwapendi kabisa, ila tukiweka ushabiki wowote pembeni , Iyo game Argentina alibebwa.
Wew hata kwa macho yako hapo kwa Skrini ipi inaonekana ni timu ya Afrika?Sikulaumu usiku una mengi
Kwani Morocco ipo bara gani?Wew hata kwa macho yako hapo kwa Skrini ipi inaonekana ni timu ya Afrika?
Anapigwa si chini ya bao 3..Fresh! Usitoke hapa
Ngumu sana maana waamuzi wa kimkakati, wanatoka ArgentinaNasimama na France