Mpira ndio umeanza kuangalia leoHawa Morocco walifikaje hii hatua..?🙄
Vizuri team France
Wewe mlokole sasa unataka kuvuruga, tutaruka na weweWanachojua ni kujitoa mhanga tu mambo ya mpira waachane nayo 😁😁
Leo unachinja Mbuzi tena au?Bora wangepita cabo Verde hawa wala mirungi hakuna kitu aisee
Na iwe hivyoHii Ufaransa kimzaha mzaha watabeba World Cup hii
Ni hatari sana
Mimi sio mlokole Mimi ni MFARANSAWewe mlokole sasa unataka kuvuruga, tutaruka na wewe
Mimi kobaz na nasimama na France weusi
Kaa kwa kutulia
Labda kila droo wangekuwa wanapewa point 3Bora wangepita cabo Verde hawa wala mirungi hakuna kitu aisee
Na badooo!Dk 80
France 2
Morocco 0
Mpira unaenelea
Nimekueleza Argentina na France ni vibonde kwa spain bwashee hii hesabu ya kutafuta thamani ya X mbona nyepesiFrance v Argentina
Final
Nashangaa mbona wana mpira wa hovyo hivi imekuaje wakafika huku?Mpira ndio umeanza kuangalia leo
Mueleweshe mwenzio huyo kua Argentina ni kibonde kwa england aeleweEngland wakibena itapendeza