Haya mambo dunia ya kupiga faulo na kuingia kambani anaweza MESSI 🐐 pekee
Bono ni kipa na leo yuko kweny formKwa kewli ufaransa hii mechinakipoteza atajilaumu mnoooo.
Hawa waarabu leo ni kujibonyezea kizenji tuu mdebwedo.
Jambo moja france wamenifurahisha ni kuwa wamwjua bono akipiga mpira anawapatia wapinzani kapiga mipira minne yote wapinzani wanapokea tuu.
Haya hawa jamaa wanapata fk wanapiga mpira nje unabaki unashanga....inakuwa kama tunaangalia nbc bwana.
Ila hawa france wanawezapata goli kwenye set piece...kila mpira wa kwanza wanapata wao
😃😃😃🙌🙌Kipindi cha pili wanasoma Ayatul Kursiyu na Al fatha shughuli inaisha mapema
Washafunga mabegi safari imewadia tena ni mwendo wa kupokea moto tuMorocco sio nnayoijua mimi, kulikoni
Sio kwamba Messi aliacha gundu ule upande?Alimuonyesha kipa anapopiga
Huyu kudaka mzuri ila akipiga mipira mirefu hamna kitu...ata mechi dhidi ya brazil pass success rate yake ilikuwa 54%Bono ni kipa na leo yuko kweny form
Hahaha subiri tuona zinavyowarudia hizo al fathaKipindi cha pili wanasoma Ayatul Kursiyu na Al fatha shughuli inaisha mapema
Umetoka kwa shemeji yako au nilete kiboko🤣Kipindi cha pili wanasoma Ayatul Kursiyu na Al fatha shughuli inaisha mapema
Kwenye kupiga faulo sijawahi mpingaHaya mambo dunia ya kupiga faulo na kuingia kambani anaweza MESSI 🐐 pekee
Mkuu uko vizuri hadi set peace unajuaKwa kewli ufaransa hii mechinakipoteza atajilaumu mnoooo.
Hawa waarabu leo ni kujibonyezea kizenji tuu mdebwedo.
Jambo moja france wamenifurahisha ni kuwa wamwjua bono akipiga mpira anawapatia wapinzani kapiga mipira minne yote wapinzani wanapokea tuu.
Haya hawa jamaa wanapata fk wanapiga mpira nje unabaki unashanga....inakuwa kama tunaangalia nbc bwana.
Ila hawa france wanawezapata goli kwenye set piece...kila mpira wa kwanza wanapata wao
Sababu???France akishinda dunia yote inafurahi🤣
Sawa team ronaldoWashafunga mabegi safari imewadia tena ni mwendo wa kupokea moto tu