Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,700
😃😃😃Akikosa Mbappe sawa ila akikosa anko nzala kelele mingi yaani…
😃😃😃Akikosa Mbappe sawa ila akikosa anko nzala kelele mingi yaani…
France anapeta Morocco akafunge mabegi tuMarefa wa Argentina baada ya kuona ukosoaji umekuwa mwingi mtandaoni wamejifanya kuchezesha bila kuikanyagia France ili kubalansi.
Nigga better keep going with that consistency cause if he plays dirt we'll always say what we used to.
Wana uhakika wa milo mitatu bila shaka yoyoteAnachez familia yake
Hahaha kelele mingiAkikosa Mbappe sawa ila akikosa anko nzala kelele mingi yaani…
Acha tu mkuu…Hahaha kelele mingi
Waarabu wameenda kusoma nn ile???😃😃Hakimi Leo kama kala nyetoh
We juzi unashangilia argentina atolewe ulitumwa na GOAT mbuziSiku zote nipo upande bora
Huenda wanajipanga kufanya mambo makubwa kipindi cha pili.Hata mimi naona, morocco imekua ya kuzuia kweli, mashambulizi hatuyaoni.... sijui kama hawakuuza mechi hawa... hata furaha ya kuangalia imepotea
AlbadruWaarabu wameenda kusoma nn ile???😃😃
Alimuonyesha kipa anapopiga
uran hivi huyu unamuelewa kweliWe juzi unashangilia argentina atolewe ulitumwa na GOAT mbuzi
Kipindi cha pili wanasoma Ayatul Kursiyu na Al fatha shughuli inaisha mapemaWaarabu wameenda kusoma nn ile???😃😃
Iwe hivyo broHuenda wanajipanga kufanya mambo makubwa kipindi cha pili.
Ufaransa inatosha kule mbele mkianza kushambulia kwa pupa mtalia
France waombe wasikutane na Spain. Kwa mpira wao wanalizwaMorocco nnayoijua mimi mpaka half time angelikua anaongoza umiliki wa mpira, ufaransa ni bahati tu huwa inawaijia ila kimpira morocco wako vizuri
Tulia mzee angalia kabumbu🤣Inawezekana maybe.
Hapa angekuwa anacheza na timu nyingine out Africa, Norway na England ningewashabikia pia.