2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Marefa wa Argentina baada ya kuona ukosoaji umekuwa mwingi mtandaoni wamejifanya kuchezesha bila kuikanyagia France ili kubalansi.

Nigga better keep going with that consistency cause if he plays dirt we'll always say what we used to.
France anapeta Morocco akafunge mabegi tu
 
Kwa kewli ufaransa hii mechinakipoteza atajilaumu mnoooo.
Hawa waarabu leo ni kujibonyezea kizenji tuu mdebwedo.

Jambo moja france wamenifurahisha ni kuwa wamwjua bono akipiga mpira anawapatia wapinzani kapiga mipira minne yote wapinzani wanapokea tuu.

Haya hawa jamaa wanapata fk wanapiga mpira nje unabaki unashanga....inakuwa kama tunaangalia nbc bwana.

Ila hawa france wanawezapata goli kwenye set piece...kila mpira wa kwanza wanapata wao
 
Back
Top Bottom