Hafai kuwa timu ndogo vile aisee, hivi man u haioni wachezaji kama hawa?As Roma ya Italy
Kwa hiki kiwango chake mkuu!AS Roma timu ndogo babu?
HahahaSalah matako yk
Hakimi Leo kama kala nyetoh
HahahaHow i sleep knowing Ronaldo is out of the World Cup View attachment 3626051
Hata mimi naona, morocco imekua ya kuzuia kweli, mashambulizi hatuyaoni.... sijui kama hawakuuza mechi hawa... hata furaha ya kuangalia imepoteaHata Mimi inanikatisha tamaa kama haipo mchezoni vile , kwa style hii sidhani kama atatoboa leo
Anachez familia yakeMshindi wa Kombe la Dunia la mwaka 2018 pale Urusi, Antoine Griezmann yupo jukwaani
France akishinda dunia yote inafurahi🤣Tupo hapa