Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,863
- 14,346
Nilitaka nikalale tu, maana nilishakata tamaaRaha sanaaa
Nilitaka nikalale tu, maana nilishakata tamaaRaha sanaaa
Kabisa mkuuHii mechi mbona yanajirusia ya waarabu na Argentina
Au naona vibaya jaman
😁😁😁nmelogwa na talent yakeAndunje amekuloga wewe si bure
Washajua France ya sasa kusema upishane nayo unaweza oga nyingiHizi back passes Morocco wanaweza to boko any time sasa
Hakimi mpira alishaupoteza kaenda kuchajishaPenati ýa dhulma hiyoooo
Ila tunashambuliwa...daahTutulie tu