Saba saba😀😀kama hawa wasenge
taifa stars watakua kina nni😁
Usenge upi tenaHuu ni usengee
Imagine 🤣🤣Kwahyo mnadhani hilo goli litafutwa kwa VAR 😂😂
Argentina hao wanapepea...Huu ni usengee
Kwanini mkuuArgentina wakabidhiwe kombe tu hamna timu itawafunga hawa 😀
Kwahyo mnadhani hilo goli litafutwa kwa VAR 😂😂
Nimesema hapa hata dk 6 hazijaishaKama kuna mtu anadhani hii ngoma argentina ataipeleka extra , naomba aamke kutoka usingizini
Watu hili hawalisemi wamekazania tu timu za Afrika kwasababu kuna mchezaji wao favouriteMbeleko imekolea
NAOMBA NIWEKE KUMBUKUMBU wajukuu wa kikongwe Ronaldo mnatabia ya kusahauMESSI 🐐 above all
Leo anakojolea kimoja tu 🤣 wajukuu wa cr7 visukari vipande
Mkuu tupo wote toka day one..hawa Misri ni kimaRefa amedhihirisha mahaba yake