2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Huwezi kucheza mchezo wa kujilinda tu bila kushambulia halafu utegemee ushindi.

Ulinzi mzuri ni mashambulizi makali.

Timu za Kiafrika hazilijui hilo.
A very BIG POINT, nilikuwa nabishana na washkaji hapa, ukibaki kuzuia utafungwa TU au utasababisha fouls za kufungwa

Egypt walipaswa waache washambuliaji watatu au wanne kule mbele ili Argentina wasijae golini kwao
 
Back
Top Bottom