Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,682
- 208,847
Mgumba kapata mimba… mate mji mzima 😂Mje sasa wajinga nyie😂😂
Mgumba kapata mimba… mate mji mzima 😂Mje sasa wajinga nyie😂😂
Ngoja kwanza wapigwe la 3..😃😃Mashabiki wakukodi wa Misri,saa ngapi mnaanza kuwatukana Misri?
Waje shenziiiii zao Messi 🔥🔥
Wajishikilie sasa…hii ndio Argentina mtaniHaya sasa Mtani fujo zianze. 🤣🤣🤣
Mkuu hapana..upuuz huuAfrica Kuna laana gana
Basi tufanye mafarao wana 3
Ngoja tusawazishe tuwapige bomba 4
Tulia kijana mi nashabikia wanaume 🔥🔥🔥Binti rudi kapike mandazi mechi ngumu hii
Kwa kweeli. 💪Wajishikilie sasa…hii ndio Argentina mtani
Km hao wambie kitu kmekua kigumuWatangazj wa Azam wanasema misri imemtoa Argentina wakati mpira haujaisha, huku wakinogesha na maneno ya kiarabu
Sijui hata mwisho utakuaje ila nimekatika Sana kwa hilo pigoDuh!... hatari sana
Daah😂😂😂 ngoja niseme kwa MessiMgumba kapata mimba… mate mji mzima 😂