Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,859
- 49,293
Bado muda chief...Leo naona Argentina inaaga. But ilimradi Ronaldo ashatoka sawa tu
Bado muda chief...Leo naona Argentina inaaga. But ilimradi Ronaldo ashatoka sawa tu
Ni kweli lakini siyo kazi rahisiEgypt ili wawe safe at leat waongeze Goli Mbili nyingine na wasirudi nyuma kuzuia.
Ila tofauti na hapo Wanapigwa.
Bado wamezidiwa mbali Pace na Power.
Bestie I Miss you.
Leo mnaondoka kweli sio utaniLeo naona Argentina inaaga. But ilimradi Ronaldo ashatoka sawa tu
Shughuli inaendelaVp huko
Unajua boliEgypt ili wawe safe at leat waongeze Goli Mbili nyingine na wasirudi nyuma kuzuia.
Ila tofauti na hapo Wanapigwa.
Bado wamezidiwa mbali Pace na Power.
HATOKILeo naona Argentina inaaga. But ilimradi Ronaldo ashatoka sawa tu
Duh!..Mwamba ana kiburi hataki magoli ya penati
Muda wa nini?Mda bado 😭
Kweli kwa yote yanayoendelea saizi kwenye Afcon umeona mjadala wa kujadili ni mchezaji aliyewahi kutoa kauli hiyo?Ni nani huyo aliyewahi sema hvyo
Watafia apo uwanjani 😀Leo naona Argentina inaaga.
Furahia mapema kabla hujahuzunikaNaogopa hata kufurahia, maana timu za afrika mmmh
Mkuu sisi hao robo fainali...mbuzi mwingine anarudi nyumbaniFuraha ya muda , kushikalia Bomba ni ngumu kwa Egypt ila ngoja tuone
#GoEgypt
Kuchomoa goriMuda wa nini?
Watu wengine hapa walijua nafanya mocking.Ni timu gani inayo kujia kichwani baada ya kuona hii picha
View attachment 3617333