Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,025
- 126,008
Kweli kabisa. Cape Verde ni balaa.Yaanai mlijua kutupa presha ila ndio hivyo mkubwa ni mkubwa tu
Watu wengi walijua tungechezea kuanzia tatu kuendelea kama ile kauli yako. 😅
Kweli kabisa. Cape Verde ni balaa.Yaanai mlijua kutupa presha ila ndio hivyo mkubwa ni mkubwa tu
Tatizo ungeniomba asikrimu yangu ya ukwajuHahahaaa. Hujafanya poa ujue.
Hawaamini kama mbuzi wao kahenyeshwa na walioitwa underdog 🤣🤣🤣Dah! Ila mwanetu ile game mlitota sana 🤣🤣🤣
Magoli ya chrstiano Ronaldo ya timu za Taifa karibu asilimia 90 amezfunga hizo timuWakati tukimpongeza Messi kwa kuandika rekodi ya kwanza kwa dunia kuwa na mfungaji bora mwenye goli 20.
View attachment 3622397
Tukumbushane na zile nchi ambazo alizifunga kwenye haya mashindano hadi kufikisha jumla ya idadi ya mabao 20.
🇷🇸 Serbia & Montenegro - 1
🇧🇦 Bosnia & Herzegovina - 1
🇮🇷 Iran - 1
🇳🇬 Nigeria - 3
🇸🇦 Saudi Arabia - 1
🇲🇽 Mexico - 1
🇦🇺 Australia - 1
🇩🇿 Algeria - 3
🇦🇹 Austria - 2
🇯🇴 Jordan - 1
🇨🇻 Cape Verde - 1
Hayo ni magoli 16 kati ya magoli 20 aliyofunga.
Hayo manne mengine ni dhidi ya
🇭🇷 Croatia - 1 (penalty)
🇫🇷 France - 2 (1 penalty, 1 open-play goal)
🇳🇱 Netherlands - 1 (penalty)
So hapa tunaona goli 3 kati ya nne alizofunga kwenye hizi giant timu zilikuwa ni penalty.
Na we hukupanga kunigawia. 🤣Tatizo ungeniomba asikrimu yangu ya ukwaju
Siwezi kuwagawia mashabiki wa Ronaldo siwapendi kama maccm.Na we hukupanga kunigawia. 🤣
Haya siku ingine tena ila nikikuona mimi mwanzo sitajificha.
Tutabakia wapenzi watazamaji😂Ahsante sana Mtani.
Enhee tukitolewa sasa tutahamia wapi au hii ni mpaka mwisho wa safari? 😅
😂😂😂Kweli kabisa. Cape Verde ni balaa.
Watu wengi walijua tungechezea kuanzia tatu kuendelea kama ile kauli yako. 😅
Poa poa. 🤝Tutabakia wapenzi watazamaji😂
Ngamia kapotea jangwani hapa simuoni.Kikosi bora cha raundi ya 32 boraView attachment 3622550
Elewa muktadha.Magoli ya chrstiano Ronaldo ya timu za Taifa karibu asilimia 90 amezfunga hizo timu
Macedonia
Bosnia
unzbekstan
fao island
island
visiwa vipo Ving Sana vyenye hadh ya fifa ulaya ambavyo mpira hucheza baada kumaliza kuvua samaki
SipingiKikosi bora cha raundi ya 32 boraView attachment 3622550
Mwanzo ulijificha kwenye kichaka cha "mi mtu wa mpira sina mapenzi na timu wala mtu"Magoli ya chrstiano Ronaldo ya timu za Taifa karibu asilimia 90 amezfunga hizo timu
Macedonia
Bosnia
unzbekstan
fao island
island
visiwa vipo Ving Sana vyenye hadh ya fifa ulaya ambavyo mpira hucheza baada kumaliza kuvua samaki