2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Dah! Ila mwanetu ile game mlitota sana 🤣🤣🤣
Hawaamini kama mbuzi wao kahenyeshwa na walioitwa underdog 🤣🤣🤣
Screenshot_20260704_183432_WhatsApp.jpg
 
Wakati tukimpongeza Messi kwa kuandika rekodi ya kwanza kwa dunia kuwa na mfungaji bora mwenye goli 20.
View attachment 3622397

Tukumbushane na zile nchi ambazo alizifunga kwenye haya mashindano hadi kufikisha jumla ya idadi ya mabao 20.

🇷🇸 Serbia & Montenegro - 1
🇧🇦 Bosnia & Herzegovina - 1
🇮🇷 Iran - 1
🇳🇬 Nigeria - 3
🇸🇦 Saudi Arabia - 1
🇲🇽 Mexico - 1
🇦🇺 Australia - 1
🇩🇿 Algeria - 3
🇦🇹 Austria - 2
🇯🇴 Jordan - 1
🇨🇻 Cape Verde - 1

Hayo ni magoli 16 kati ya magoli 20 aliyofunga.

Hayo manne mengine ni dhidi ya

🇭🇷 Croatia - 1 (penalty)
🇫🇷 France - 2 (1 penalty, 1 open-play goal)
🇳🇱 Netherlands - 1 (penalty)

So hapa tunaona goli 3 kati ya nne alizofunga kwenye hizi giant timu zilikuwa ni penalty.
Magoli ya chrstiano Ronaldo ya timu za Taifa karibu asilimia 90 amezfunga hizo timu

Macedonia
Bosnia
unzbekstan
fao island
island
visiwa vipo Ving Sana vyenye hadh ya fifa ulaya ambavyo mpira hucheza baada kumaliza kuvua samaki
 
Magoli ya chrstiano Ronaldo ya timu za Taifa karibu asilimia 90 amezfunga hizo timu

Macedonia
Bosnia
unzbekstan
fao island
island
visiwa vipo Ving Sana vyenye hadh ya fifa ulaya ambavyo mpira hucheza baada kumaliza kuvua samaki
Elewa muktadha.

Sijazungumzia magoli aliyowahi kufunga akiwa na timu ya Taifa.

Nazungumzia idadi ya magoli aliyofunga kwenye kombe la dunia akiwa na timu ya Taifa.

Na hata hivyo bado takwimu zako zimejaa upotoshaji.

Mechi ya Portugal Vs North Macedonia Ronaldo hakufunga.
Screenshot_20260704-192111.png


Na mind you haikuwa kombe la dunia ilikuwa ni mechi ya kufuzu. Unless unioneshe hiyo mechi ambayo wewe unaisema maana rekodi zinaonesha ni mechi 2 tu ambazo walikutana huku hiyo moja ikiwa ya kirafiki na iliisha kwa sare ya 0-0

Nikija kwenye mechi dhidi ya Bosnia nayo haikuwa michuano ya World Cup bali ni Euro tena katika hatua ya kufuzu

Screenshot_20260704-194822.png



Faroe Islands zote mechi mbili wamekutana na Portugal kwenye hatua ya kufuzu.

Kwa hiyo hoja yako inabaki kuwa ya upotoshaji.
 
Magoli ya chrstiano Ronaldo ya timu za Taifa karibu asilimia 90 amezfunga hizo timu

Macedonia
Bosnia
unzbekstan
fao island
island
visiwa vipo Ving Sana vyenye hadh ya fifa ulaya ambavyo mpira hucheza baada kumaliza kuvua samaki
Mwanzo ulijificha kwenye kichaka cha "mi mtu wa mpira sina mapenzi na timu wala mtu"

Ila kadri ninavyo mu-expose Messi unashindwa kuvumilia na kujaribu kujibu mapigo.
 
Hapa kuna mmoja anaondoka na world cup
 

Attachments

  • file_0000000063dc71f48d61fbd073b7ea80.jpg
    file_0000000063dc71f48d61fbd073b7ea80.jpg
    322 KB · Views: 7
Back
Top Bottom