2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Sasa mbona unaongea kama mnazi wa Simba au Yanga? Maana hao wako katika dunia yao, wanaamini wanastahili kushinda kila mechi.

Ugiriki alibeba taji la Euro 2004 akiwa hapewi nafasi kabisa na akabutua Ureno aliyekuwa mwenyeji mechi ya kwanza ya ufunguzi na ile ya FAINAL

Timu ikishafuzu kwenye mashindano sio ya kuipuuza hata kama daraja lao liko chini.
Nafikiri lazima ukubali perspective ya kuingia kwenye mchezo kama under dog.
 
Back
Top Bottom