Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,693
- 130,538
Kwanza hujajibu swali.Kabla ya Hilo tukio Kuna mido km sikoa touchmen wa ufaransa alimfanyia madhambi Messi katikat ya uwanja ikapigwa pasi ikamfikia kolo muan
messi alisukumwa na akapigwa kiatu akaanguka refar akameza filimbi
Swali limehoji je maamuzi ya refa kutotoa penalty yalikuwa sahihi?
Nipe maoni yako wewe kama mdau wa footbal kwa namna ulivyo jinasibu.
Pili mimi nimeweka evidence ya video na picha kabisa inayoonesha tukio na namna ambavyo ilivyo stahili kuamuliwa kwa mujibu wa sheria.
Wewe umeweka maneno matupu. Namimi nilijua isingekuwa rahisi kueleweka kama ningeongea bila kuweka ushahidi.
Na mind you, refa wa mechi hiyo baada ya mechi aliwahi kuhojiwa na Daily Express (UK) alikiri kufanya maamuzi mengi ya hovyo ya kuipendelea Argentina ikiwemo incident ya kusimamisha mpira kwa sekunde 30 baada ya France kufanya counter attack.