2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kabla ya Hilo tukio Kuna mido km sikoa touchmen wa ufaransa alimfanyia madhambi Messi katikat ya uwanja ikapigwa pasi ikamfikia kolo muan

messi alisukumwa na akapigwa kiatu akaanguka refar akameza filimbi
Kwanza hujajibu swali.

Swali limehoji je maamuzi ya refa kutotoa penalty yalikuwa sahihi?

Nipe maoni yako wewe kama mdau wa footbal kwa namna ulivyo jinasibu.

Pili mimi nimeweka evidence ya video na picha kabisa inayoonesha tukio na namna ambavyo ilivyo stahili kuamuliwa kwa mujibu wa sheria.

Wewe umeweka maneno matupu. Namimi nilijua isingekuwa rahisi kueleweka kama ningeongea bila kuweka ushahidi.

Na mind you, refa wa mechi hiyo baada ya mechi aliwahi kuhojiwa na Daily Express (UK) alikiri kufanya maamuzi mengi ya hovyo ya kuipendelea Argentina ikiwemo incident ya kusimamisha mpira kwa sekunde 30 baada ya France kufanya counter attack.
 
Imenibidi tu nicheke maana mwanzo nilijua unafanya makusudi.

Post niliyokuambia uirejee ni hii
View attachment 3621496
Lengo lilikuwa ni kukumbusha kusoma na kutambua kilichoandika kimegusa nini.

Maana hapo nilikuwa nimefanya criticism kupima umakini wako wa uelewa.

Then ukaja kurudia kosa lile lile. Kikawaida ungekuwa umenielewa usingethubutu kurudia hizi errors.
View attachment 3621497

Hii imenifanya nione kama hufanyi makusudi kama ambavyo nilikuwa nafikiria. At this point hatuwezi kuelewana prolly una mambo mengi yana spin kichwani.
Sasa mpaka unavyo vianzisha wewe hujui maana yake. Sasa mimi utanielewaje? Sikulaumu kwakuwa umechaua mwenye kutonielewa na hautokuja kunielewa.
 
Imenibidi tu nicheke maana mwanzo nilijua unafanya makusudi.

Post niliyokuambia uirejee ni hii
View attachment 3621496
Lengo lilikuwa ni kukumbusha kusoma na kutambua kilichoandika kimegusa nini.

Maana hapo nilikuwa nimefanya criticism kupima umakini wako wa uelewa.

Then ukaja kurudia kosa lile lile. Kikawaida ungekuwa umenielewa usingethubutu kurudia hizi errors.
View attachment 3621497

Hii imenifanya nione kama hufanyi makusudi kama ambavyo nilikuwa nafikiria. At this point hatuwezi kuelewana prolly una mambo mengi yana spin kichwani.
Sasa mpaka unavyo vianzisha wewe hujui maana yake. Sasa mimi utanielewaje? Sikulaumu kwakuwa umechaua mwenye kutonielewa na hautokuja kunielewa na bora husinielewa kabisa.
 
I hope haitotokea kwa Misri
1783100000805.png
 
Hii simu sijaikumbuka kwa miaka mingi sasa. Imekuwaje umeiwaza 😂
Tecno Y3 ndio imefanya mapinduzi ya simu , baada ya kushusha bei mzigo washamba wengi wakaanza kumiliki smart phone na smart phones zikawa rahisi kupatikana .

Enzi hizo zinz hit ikuwa kati ya watu 10 Wenye smart phones basi 7 Wana Tecno Y3 ,ilikuwa kama simu ya taifa . Mimi niliikataa niliona Bora nikapasuke dukani kwa simu ya maana kuliko kununua simu ambayo karibia kila mtu anayo
 
Back
Top Bottom