Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 2,260
- 5,386
Itakuwa Mnyakyusa wa Kyela huyu.Huyo Ilankunda katokea wapi tena huko Australia kha!!??
Itakuwa Mnyakyusa wa Kyela huyu.Huyo Ilankunda katokea wapi tena huko Australia kha!!??
Nimewasha data na bando langu la ngama nipo live nowTayari moja hukooo....woyooooo
Usilinganishe Egypt na wamatumbi naamini Hawa watatupa kitu cha utofautiTatizo kushikilia bomba kwa Waafrika ila ngoja tuone
Amen and amenWanavuka hii
Unashangaa goli linarudishwa na wanaongezwaNgja tuone hii mana wanaanzaga hivi.
Pierluigi Collina, Marco Materazzi, and David Silva.